Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Je! Kusulubiwa na dhabihu ya Yesu ilikuwaje tofauti na dhabihu na msamaha katika Agano la Kale?
Maisha mema Zaidi ambayo mtu yeyote anaweza kuishi, mahali popote, wakati wowote. Kama kweli unahitaji.
Ninawezaje kuweka maisha yangu ya mawazo safi wakati mawazo haya mengi yanakuja tu bila mimi kuyataka?
Je, Sisi wanadamu tunawezaje kumfuata Kristo, Mwana wa Mungu?