Mungu ana njia ya kututoa kwa kila jaribu. Lakini haijaandikwa kwamba jaribu linaondoka
Yesu ni nani kwako? Je! Umemkabidhi moyo wako wote na maisha yako kama Bwana na Mwalimu wako - au je, yeye ni "dhabihu ya dhambi" tu kwako?