Tunaweza kukubali upendo wa Mungu, na kujifunza kupenda kama Yeye anavyopenda!
Nililelewa katika familia ya Kikristo, lakini ni nini kilichonisadikisha kwamba Ukristo ulikuwa ukweli wa maisha yangu mwenyewe?
Siku yenye tija ni nini?
Je, Ukristo unaweza kumpa nini mtu ambaye anataka kufanya tofauti?
Ushuhuda wa Paulo ulikuwa: " Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda." Ushuhuda wako utakuwa nini?
Makala hii iliandikwa kwa ajili ya Mwaka Mpya mnamo 1957, lakini ni muhimu leo kama ilivyokuwa wakati huo
Tuanze mwaka mpya tukiwa na matumaini na imani hai katika neno lote la Mungu.
Hii hakika itakufanya uwe na furaha zaidi!
Ni kwa namna gani baadae yangu itakuwa chanya Habari zote zikiwa hasi?
Jinsi nilivyoshinda upweke.
Mungu huwapinga wenye kiburi , bali huwapa neema wanyenyekevu. Kujihukumu na kujinyenyekeza ni jambo kubwa zaidi unaloweza kufanya katika maisha haya!
Tunasoma mengi juu ya kuwa watumishi wa Mungu katika Biblia. Lakini tunawezaje kumtumikia?
Kwa nini wakati mwingine ninawaumiza wengine au kufanya iwe vigumu kwao bila kuwa na nia ya kufanya hivyo?
Katika Biblia, kanisa mara nyingi hulinganishwa na jengo ambalo kila kitu kinafaa kikamilifu kwa kila njia. Hii inamaanisha nini?
Mungu anakuita, lakini lazima uchague jinsi ya kuitika.
Kwanza kabisa, kwa sababu ninahitaji nguvu.
Karibu mtu yeyote au kitu chochote kinaweza kunifanya niwe na hasira na kukosa subira.
Tunajua kwamba Biblia inasema kwamba Mungu anatupenda. Lakini yuko wapi katika nyakati ngumu?
Ikiwa Yesu ndiye Mtangulizi wetu, lazima imaanishe kwamba kuna wengine wanaomfuata