Kazi za roho

Kazi za roho ni amri na ukumbusho wa roho mtakatifu kwetu.  Zinaweza kuja kwa njia ya ufahamu wetu, mawazo yetu, hisia zetu, neno la Mungu, mambo ambayo wengine husema n.k. unapotembea katika roho unapata “Sikio lililofundishwa” na kazi za roho zitaweza kuonekana kirahisi. (Yohana 14:26)