Kifo cha kristo

Mara nyingi haimaanishi kifo cha yesu cha kimwili msalabani pale Kalivari, bali kifo cha tamaa ya kutenda dhambi katika mwili wa Yesu wenye asili ya kibinadamu. Yesu aliua tamaa zote za dhambi alipokua akiishi hapa duniani kama mwanadamu. (2Timotheo 2:11; 2Wakorintho 4:10; Wafilipi 3:10; Warumi 8:3)