Kuishi mbele ya uso wa Mungu

Kuishi mbele ya uso wa Mungu inamanisha kwamba unafanya kila jambo kwa ajili yake, kufanya mapenzi yake na kutafuta idhini yake pekee katika matendo yako. Kuishi mbele ya uso wa mwanadamu inamaanisha kwamba unatafuta idhini ya mwanadamu katika matendo yako. (Wagalatia 1:10; Waefeso 6:6)