Kupata mwanga

kupata mwanga inamanisha kwamba roho mtakatifu anakuonesha kitu fulani. Kwa mfano, unaweza pata mwanga juu ya dhambi zako mwenyewe na kujiona kuwa wewe ni mbinafsi, mwenye majivuno, n.k. inamaanisha pia kupata ufunuo zaidi katika neno la Mungu na kazi yake kwa wale wanaomfuata, na ahadi zake kwao. (Zaburi 118:27; Zaburi 119:130; Yohana 1:4-5; Yohana 3:19-21; 2Wakorintho 4:6; Waefeso 1:17-18.)