Mateso

Biblia mara nyingi inazungumzia kuhusu mateso. Hii inaweza maanisha mateso ya mwili, lakini katika agano jipya mara nyingi inazungumzia mateso ambayo hutokea pale unapokataa tamaa zako mwenyewe zenye dhambi na kuziweka katika kifo. Ni mateso ya ndani (Zaidi ya mateso ya kimwili) ambayo hutokea haufanyi yale ambayo tamaa zako zinakutaka ufanye – ambayo biblia katika kitabu cha Wagalatia 5:24 inaita “kusulubisha mwili (Asili ya dhambi ya mwanadamu) pamoja na shauku na tamaa zake”