Mateso ya Kristo

 “Mateso ya Kristo” inamanisha mateso ya ndani ambayo Kristo aliyapata alipoamua kukataa mapenzi yake na kuyaweka katika kifo alipojaribiwa na badala yake alichagua kumheshimu Mungu. Wakati mwingine pia inaweza maanisha mateso ya kimwili Kristo aliyoyapata. (1petro 4:1; Wakolosai 1:24; Waebrania 2:18)