Mwanafunzi

Mwanafunzi ni neno jingine linalomaanisha mfuasi wa kristo, anayejifunza kuwa kama mwalimu wake. Jinsi mwanafunzi unamfuata Yesu kristo ambaye ndiye mwalimu, na kwa kuishia kama yeye unazidi kuwa kama yeye. (Mathayo 16:24; 1Petro 2:21-22)