Toba

 Toba ni ile hali ya kujutia dhambi ulizozifanya kipindi cha nyuma, na kuwa na malengo ya kutorudia tena. Ni kufanya maamuzi ya kutoka katika uovu na kumtumikia Mungu. Toba ni moja ya vitu vinavyohitajika ili kupata msamaha wa dhambi. (Marko 2:17; Luka 15:10; Luka 24:46-47; Matendo ya mitume 3:4; 2Wakotintho 7:10; 2Petro 3:9; Waefeso 4:22-24; Ufunuo wa Yohana 3:19)