Nimejionea jinsi Mungu wetu alivyo mkuu, na uponyaji na usaidizi mwingi katika Neno la Mungu.
Ukristo wa Utendaji
Nilipokuwa hata simjui Mungu, Alikuwa akinivuta kwake kwa upole. Sasa namchagua kila siku.
Nilikuwa nikijibu kila wakati kwa njia ambayo nilichukia. Hivi ndivyo nilivyopata suluhisho.
Nilipokuwa mdogo, niligundua kuwa kuna kitu kilikosekana katika maisha yangu; Sikujua ni nini. Kisha nikasoma maneno ya Yesu.
Maisha yangu yalibadilika kabisa nilipokutana na watu waliohubiri maisha ya Kristo - na kuyaishi.
Sikutarajia kamwe kuwa mtu anayemwamini Mungu.
Uzoefu wake mwenyewe umethibitisha kwamba maisha haya ni ya kweli.
Hatua ya kwanza kuelekea maisha mapya na yenye maana.