Nilipokuwa hata simjui Mungu, Alikuwa akinivuta kwake kwa upole. Sasa namchagua kila siku.
Ukristo wa Utendaji
Nilipokuwa mdogo, niligundua kuwa kuna kitu kilikosekana katika maisha yangu; Sikujua ni nini. Kisha nikasoma maneno ya Yesu.