Mungu ni upendo, kwa hivyo anawezaje kumruhusu mtu yeyote ateseke milele?
Je, umehesabu gharama?
Toba ni hatua ya kwanza kuelekea wokovu na maisha yenye maana
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Kuna tofauti kubwa. Na ni muhimu sana kujua ni tofauti gani.
Kwa msaada wa injili inawezekana kuwa huru kabisa kutoka kwenye maudhui ya ngono