Kwa "taarifa" nyingi zinapatikana na kila mtu anajaribu kutuambia kwamba anasema ukweli, inawezekanaje kujua ukweli ni upi?
Ukristo wa Utendaji
Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Biblia hutueleza kuwaombea viongozi wetu na serikali.
Wakati tuliposhuhudia ubaya wa ubaguzi dhidi yetu, mtoto wangu wa miaka 5 alijua njia bora ya kuushughulikia.
Kwa nini nisiogope katika nyakati hizi zisizo na uhakika? Neno la Mungu linasema nini kuhusu hili?
Unawezaje kuwa sehemu ya mabadiliko makubwa katika historia?