Kupitia majaribu na shida nimejifunza masomo muhimu ambayo ninataka kushiriki nawe.
Ukristo wa Utendaji
Anonymous by request
Naomi Kobzeff
Hakuna kitu kingine kinachoweza kunipa msaada na faraja ambayo tunapata katika Neno la Mungu
Kifo ni siri kubwa. Lakini kama mkiristo nina ahadi ya thamani kwa hali yangu ya baadaye.
Kuweza kutazamia siku ambayo nitakutana na Mwokozi wangu na kupokea thawabu ya maisha ya uaminifu, ni mojawapo ya faida kuu za kuwa Mkristo.
Wote tuna vitu au watu tuwaowageukia pindi tunapohitaji faraja. Lakini unapata faraja ya kweli na ya kudumu?
Acheni tuhubiri habari njema kwa furaha juu ya kila jambo linalowezekana kwa imani katika Yesu Kristo!
e, umewahi kuwa na shaka kwamba Mungu anakupenda? Mistari hii ya Biblia inaweza kubadilisha hilo.
Kwa nini nisiogope katika nyakati hizi zisizo na uhakika? Neno la Mungu linasema nini kuhusu hili?