Siyo dhambi kujaribiwa kuwa na wivu, lakini ukiiruhusu uishi na ukue, unaweza kuharibu maisha yako.
Ukristo wa Utendaji
Mfano katika Yohana 15 unaweza kuonekana kuwa mgumu kidogo kuelewa. Yesu ni mzabibu, sisi ni matawi, na Mungu ndiye mkulima. Je, haya yote yanamaanisha nini?
Mungu amempa kila mtu nafsi na roho. Je! kuna tofauti gani gani ya vitu hivi viwili?
Wanaume watatu walisulubiwa Kalivari, lakini siku iliisha kwa matokeo matatu tofauti. Mfano wako ni nani?
Ikiwa Kristo alikuja katika mwili, katika asili ya kibinadamu, ilikuwa asili gani? Kwa nini hiyo ni muhimu?
Naweza kuhisi kama nakuwa mchafu nijaribiwapo. Lakini je, nimitenda dhambi?
Huu ndio ufunguo wa kushinda dhambi maishani mwetu!
Je! Ulijua kwamba katika kila kitu tunachofanya, watu wataona maisha ya Kristo au maisha ya Shetani ndani yetu?