Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Ukristo wa Utendaji
Ukristo wa kweli unaonekanaje hasa.
Kifo katika kaya kilifanya nifikirie..
karibia wakristo wote hutafuta kilicho kikuu, na hutaka Watoto wao wawe wakuu ulimwenguni. Lakini hiki sicho Mungu anachotaka kwa ajili yetu!
Kama wakristo tuna wito mkuu na mtakatifu sana, na wala kwa namna yoyote hautegemei elimu yetu wala historia ya maisha yetu wala rangi yetu.
Tumeitwa kuwa wana wa Mungu. Lakini tunahitaji nini ili tuitwe wana wa Mungu?
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Sisi ni watu waliochaguliwa na Mungu, ametuchagua kabla ya kuumba ulimwengu. Unaiamini? Unaiishi?
Biblia inazungumza kuhusu kuwa mkamilifu. Hii inamaanisha nini, na inawezekana?
Kuna njia moja ambayo haijawahi kumkatisha tamaa yule anayeichagua. Je! Unafikiria kufuata ndoto yako ndio njia hiyo? Au kuna kitu zaidi?
Je, Sisi wanadamu tunawezaje kumfuata Kristo, Mwana wa Mungu?
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?