Sio vitu tunavyofikiria mara kwa mara ambavyo vitatuletea furaha au kutufanya tuwe na furaha ya kweli
Mungu mwenyewe ndiye anayedhibiti mipaka ya maisha yetu kwa lengo la kutusogeza karibu naye.
Ushuhuda wa Paulo ulikuwa: " Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda." Ushuhuda wako utakuwa nini?
Hebu fikiria ikiwa unaweza kusema mwishoni mwa maisha yako: "Hiyo ilikuwa bora zaidi kuliko nilivyofikiria ingekuwa!"
Biblia hutueleza kuwaombea viongozi wetu na serikali.
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?
Ni nini "uzinzi" kulingana na Neno la Mungu na matokeo ya uzinzi ni yapi?