Hebu fikiria ikiwa unaweza kusema mwishoni mwa maisha yako: "Hiyo ilikuwa bora zaidi kuliko nilivyofikiria ingekuwa!"
Biblia hutueleza kuwaombea viongozi wetu na serikali.
Mungu mwenyewe ndiye anayedhibiti mipaka ya maisha yetu kwa lengo la kutusogeza karibu naye.
Ni nini "uzinzi" kulingana na Neno la Mungu na matokeo ya uzinzi ni yapi?
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?