karibia wakristo wote hutafuta kilicho kikuu, na hutaka Watoto wao wawe wakuu ulimwenguni. Lakini hiki sicho Mungu anachotaka kwa ajili yetu!
Ukristo wa Utendaji
Tumaini letu linapokuwa kwa Kristo, tuna tumaini la wakati ujao katika utukufu mkuu na wa milele.
Ujumbe chanya na wenye matumaini kwa mwaka ujao
Inaweza kuwa ngumu kupata maana ya maisha wakati kila siku inapita sawa na ile ya hapo awali, hadi uanze kutazama maisha kwa njia mpya kabisa.
Ni kwa namna gani baadae yangu itakuwa chanya Habari zote zikiwa hasi?
Kama wakristo, tunaweza kutumani nini katika mwaka mpya?
Kuna njia moja ambayo haijawahi kumkatisha tamaa yule anayeichagua. Je! Unafikiria kufuata ndoto yako ndio njia hiyo? Au kuna kitu zaidi?
Nitafanya nini ninapojihisi sipo kama navyotakiwa niwe?
Mtazamo wako uko wapi maishani
“Muda wako ujao unaonekanaje? Umepanga maisha yako?" Ilibidi nisimame na kufikiria kabla sijajibu.