kufanya jambo jema, lazima nijiweke huru kutoka katika uovu.
Uchungu na kuwa na jambo dhidi ya mtu mwingine huhwaweka watu mbali kati ya mmoja na mwingine – lakini kuna suluhisho.
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Kuna njia moja ambayo haijawahi kumkatisha tamaa yule anayeichagua. Je! Unafikiria kufuata ndoto yako ndio njia hiyo? Au kuna kitu zaidi?