Wakati mwingine inaweza kuonekana kama kuna msukumo unakuja kutoka kwenye mwelekeo wote.
Ukristo wa Utendaji
Tumaini letu linapokuwa kwa Kristo, tuna tumaini la wakati ujao katika utukufu mkuu na wa milele.
“Leo ni siku.” Siku niliyogundua kile ambacho nimekuwa nikikikosa.
Lengo la mwisho katika maisha haya ni kupumzika na amani katika hali zote, katika kila aina ya shida. Je! Tunapataje amani ya aina hii?
Nilipokuwa mdogo, niligundua kuwa kuna kitu kilikosekana katika maisha yangu; Sikujua ni nini. Kisha nikasoma maneno ya Yesu.
Hadithi ya mama kuhusu kile alichokiona alipoachana na ndoto yake ya “maisha kamili".
Jinsi tishio la bomu lilijaribu imani yangu kwa Mungu.
"Mawazo yako ni huru," wanasema. Lakini ni kweli? Je, unapata uhuru wa kweli katika maisha yako ya mawazo?