Tangu roho ya imani iingie moyoni mwangu, maoni yangu juu ya maisha yamebadilika kuwa maelezo.
Ukristo wa Utendaji
Nimejionea jinsi Mungu wetu alivyo mkuu, na uponyaji na usaidizi mwingi katika Neno la Mungu.
Je, kweli unaamini katika wema na nguvu za Mungu? Au unafikiri Mungu ni dhaifu kama wewe?
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Nilitakiwa kupigana vita ili kuishinda hali yangu ya uduni, hisia kwamba sikuwa na thamani na sikuwa muhimu kuliko wengine, na kuwa na Imani katika upendo wa Mungu kwangu binafsi.
Ni kwa imani katika Mungu kwamba tunakuja kwa siku zijazo ambazo Ametupangia.
Ahadi kuu ambayo Mungu ametupa ni kwamba tunaweza kubadilishwa kabisa!
Biblia inatuambia kwamba ikiwa tunataka kuwa Mkristo, lazima tujitoe maisha yetu wenyewe. Lakini je hii kweli linastahili ?
Sote tunajua kuwa muda wetu hapa duniani ni mfupi. Tutakuwa tumepata nini kwa wakati huo?
Kuna vita tunahitajika kupigana, vita dhidi ya dhambi – ambayo ni mzizi wa mateso yote.