Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Ukristo wa Utendaji
Tangu roho ya imani iingie moyoni mwangu, maoni yangu juu ya maisha yamebadilika kuwa maelezo.
Ni kwa imani katika Mungu kwamba tunakuja kwa siku zijazo ambazo Ametupangia.
Nilitakiwa kupigana vita ili kuishinda hali yangu ya uduni, hisia kwamba sikuwa na thamani na sikuwa muhimu kuliko wengine, na kuwa na Imani katika upendo wa Mungu kwangu binafsi.
Sote tunajua kuwa muda wetu hapa duniani ni mfupi. Tutakuwa tumepata nini kwa wakati huo?
Ahadi kuu ambayo Mungu ametupa ni kwamba tunaweza kubadilishwa kabisa!
Kuna vita tunahitajika kupigana, vita dhidi ya dhambi – ambayo ni mzizi wa mateso yote.