Baadhi ya shule zina siku za "Onesha na nena". Nilifikiria jinsi hiyo inatumika pia tunapotaka kushiriki injili na wengine…
Ukristo wa Utendaji
“Leo ni siku.” Siku niliyogundua kile ambacho nimekuwa nikikikosa.
Mungu huwa haulizi kuhusu ya nyuma, wewe ni nani au nini unaweza fanya. Anachouliza ni ikiwa uko tayari
Ingawa mara nyingi hisia zangu huonekana kubadilika bila onyo, nimejifunza siri ya kuzidhibiti ili zisinitawale.
Kushiriki katika asili ya kimungu kunamaanisha kwamba asili yangu inakuwa kama asili ya Mungu - kupitia kazi yake ya kuumba ndani yangu!
Mungu anataka kuwa na roho yetu, na anataka kufanya makao yake ndani yetu tena. Anafanyaje hili?
Tunda la roho ni asili ya kimungu (Upendo, uvumilivu, utu wema, n.k) ambalo huja pale nilipoifia dhambi
Injili inaelezewa kama "njia", kwa sababu "njia" ni kitu unachotembea juu yake. Kwenye "njia" kuna harakati na maendeleo.
Je! Ninaamini kwamba maisha ya Kikristo kama ilivyoelezewa katika Biblia yanawezekana? Ni rahisi sana kuvunjika moyo.
Umesikia juu ya njia ya "sasa"?