Sisi sote tuna tamaa za dhambi katika asili yetu zinazojaribu kutuhadaa tufanye maovu. Je, tunawezaje kuokolewa kutokana na haya?
Ukristo wa Utendaji
Je! Umewahi kujiuliza inamaanisha nini kwako kutoa mwili wako kama dhabihu hai?
Tusimruhusu shetani afanye mambo kuwa magumu kwetu.
Je! Umepata nguvu ya kushangaza ambayo huja unapojazwa na Roho?
Yesu alisema maneno ya uzima ambayo yangeweza kuokoa watu. Mamlaka yake yalikuja kwa kufanya Neno. Tunaweza kupata mamlaka sawa.
Tunajuaje kwamba Mungu anatupenda? La muhimu zaidi: Je, Mungu anajuaje kwamba tunampenda?
Biblia inazungumza kuhusu kujidanganya, na hilo linaweza kutokea kwa urahisi zaidi kuliko unavyofikiri. Lakini pia kuna njia rahisi ya kuepuka.
Nimesoma Biblia na kujifunza kutoka kwake Maisha yangu yote, lakini nawezaje kujua kwa kweli kwamba Biblia ni kweli kabisa?
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Tunapokuwa na roho ya imani, Mungu anaweza kutusaidia kushinda mambo ambayo yanaweza kuonekana kuwa hayawezekani kabisa.
Kwa kuwa siwezi kushinda dhambi bila msaada wa Roho Mtakatifu, ni muhimu sana kwamba nisikilize na kutii wakati Roho anaposema nami.
Umesikia juu ya njia ya "sasa"?
Kutii kutatugharimu nini?
Je! Kusudi la Mungu kwangu ni nini? Mapenzi ya Mungu ni nini kwenye maisha yangu?