Kwenu ninyi mnaopigania sana kuishinda dhambi na bado hamjaipata sawasawa: Itafanikiwa!
Ukristo wa Utendaji
Shaka inakufanya usiwe na nguvu.
Hii ni hadithi yangu.
Sisi sote tuna tamaa za dhambi katika asili yetu zinazojaribu kutuhadaa tufanye maovu. Je, tunawezaje kuokolewa kutokana na haya?
Tumaini letu linapokuwa kwa Kristo, tuna tumaini la wakati ujao katika utukufu mkuu na wa milele.
Ujumbe wa matumaini kwa mtu yeyote ambaye anahisi kama hafai vya kutosha.
Tangu roho ya imani iingie moyoni mwangu, maoni yangu juu ya maisha yamebadilika kuwa maelezo.
Debora alikuwa nabii wa kike na mwamuzi katika Israeli. Yeye ni mfano wenye nguvu wa jinsi imani katika matendo inavyofanya kazi!
Ni vigumu sana kueleza imani ni nini kwa maneno machache tu, lakini kuna mambo machache muhimu ambayo yanaweza kutusaidia kuielewa vizuri.
Ingekuwa kawaida kabisa kwa Sarah kutoamini kuwa atakuwa na mtoto wa kiume…hata hivyo, alikuwa na miaka 90.
Wakati mmoja sikuweza kudhibiti wasiwasi wangu na woga, lakini leo mimi ni msichana mdogo mwenye mtazamo mzuri juu ya maisha.
Maisha yangu yalibadilishwa kwa njia nyingi sana - na sio vile ungetarajia.
Imani inaweza kugeuza mambo, hata katika usiku wa giza zaidi. Je, unaamini hivyo?
Je! Unajua jinsi imani katika Mungu inavyobadilisha maisha yako?
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Je! Ninaamini kwamba maisha ya Kikristo kama ilivyoelezewa katika Biblia yanawezekana? Ni rahisi sana kuvunjika moyo.
Tunapokuwa na roho ya imani, Mungu anaweza kutusaidia kushinda mambo ambayo yanaweza kuonekana kuwa hayawezekani kabisa.
Sikutarajia kamwe kuwa mtu anayemwamini Mungu.
Kutii kutatugharimu nini?
Nilikuwa nimesahau kitu muhimu sana na cha lazima - tuzo yangu kubwa.
Fedora anasimulia jinsi alivyoachana kabisa na hasira yake mbaya.
Kuamini ni zaidi ya kukubali tu kwamba Biblia ni ya kweli.
Unapokua na hofu, unamfanya Mungu awe mdogo na wewe kuonekana mkuu. Kiukweli unamwita Mungu muongo.