Je, umehesabu gharama?
Ukristo wa Utendaji
Sasa uko tayari kuanza maisha mapya kabisa!
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Je, umewahi kufikiria au kusema maneno haya? Je! unajua Mungu alimwambia Yeremia nini aliposema hivi?
Je, huna utulivu na maisha yako yanaonekana kuwa tupu? Je, una wasiwasi na mambo mengi na una maswali mengi?
Kuna watu wengi wanaokuja kwa Yesu. Lakini si wengi wao wanakuwa wanafunzi.
Kuna tofauti kubwa kati ya watu wanaojiita wenyewe wakristo. Ni wangapi twaweza sema ni kweli wanamtukuza Mungu katika maisha wanayoishi?
Hatua ya kwanza kuelekea maisha mapya na yenye maana.