Alta alikasirika kwa urahisi kwa kila mtu na kila jambo na hii ilikuwa ikiharibu maisha yake. Angewezaje kutafuta njia ya kuacha kukasirika?
Ukristo wa Utendaji
Tunavyofikiria na kuwatendea wahitaji, wanyonge na wale ambao ulimwengu huwadharau, inaonesha tunachofikiria juu ya Mungu, Muumba.
Je, Ninajuaje ikiwa "mimi ni rafiki wa ulimwengu"
Navyoweza kupata njia ya kufahamu wakati sahihi, maneno sahihi, na matendo sahihi hivyo ninaweza kuwasaidia na kuwabariki wengine.
Nilikuwa nimezoea kukubaliana na uwongo wake, mpaka Mungu akanionesha ni nini kinachohitajika kubadilika katika maisha yangu.
Je, ningefaulu zaidi ikiwa tu hali zangu zingekuwa tofauti?
Njia nyembamba ni njia iendayo uzimani. Inamaanisha kuacha kila kitu – lakini matokeo yake ni ya kushangaza.
Inashitusha ni mara ngapi watu hufanya hivi bila kufikiria jinsi isivyo kimungu.
Shetani anapofanya kazi kati ya watu wa Mungu, yeye hutumia tamaa zao za asili na vitu ambavyo vinawavutia.
Sote tuna sababu njema kuwa wema sisi kwa sisi na kuonesha huruma na uelewa.
Je! Ninahitaji kubadilisha kabisa jinsi nilivyosoma baadhi ya mistari katika Biblia? Je! Nimekuwa nikizisoma vibaya wakati wote huu?
Yupi utamfuata? Kuwa mkweli mwenyewe. Je, ulijua kuwa jibu lako katika swali hili muhimu linatoa uamzi wa jinsi maisha yako ya milele yatakavyokuwa?
Maisha mema Zaidi ambayo mtu yeyote anaweza kuishi, mahali popote, wakati wowote. Kama kweli unahitaji.
Kuna njia moja ambayo haijawahi kumkatisha tamaa yule anayeichagua. Je! Unafikiria kufuata ndoto yako ndio njia hiyo? Au kuna kitu zaidi?
Mtazamo wako uko wapi maishani
Kuna wakati amri "Usihukumu" haitumiki.
Je, Sisi wanadamu tunawezaje kumfuata Kristo, Mwana wa Mungu?
Je! Mimi ni mtu ambaye wengine wanaweza kumtazama, hata ninapojaribiwa kukasirika au mawazo machafu?
Je! Kuna njia yoyote ya kutofautisha kati ya Wakristo wa kweli na wale ambao sio?
Kuna tofauti kubwa kati ya watu wanaojiita wenyewe wakristo. Ni wangapi twaweza sema ni kweli wanamtukuza Mungu katika maisha wanayoishi?