Ninawezaje kuacha kuathiriwa kirahisi sana kufanya kile ninachojua ni kibaya?
Ukristo wa Utendaji
kutafuta sifa kutoka kwa watu husabaisha usumbufu mwingi, lakini huegemea Zaidi kwa kila mwanadamu. Je nawezaje kuwa huru kutoka hali hii?
Hatuhitaji kuhisi hatia pindi tunajaporibiwa. Sababu ni hii hapa …
Chuki ni neno lenye nguvu. Je, Tunapaswa kumchukia baba na mama yetu, mke na watoto, kaka na dada, na hata sisi wenyewe?
Ni kwa imani katika Mungu kwamba tunakuja kwa siku zijazo ambazo Ametupangia.
Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Mungu anakuona wewe ni wa thamani na wa kipekee na wa thamani kubwa. Unajionaje?
Yupi utamfuata? Kuwa mkweli mwenyewe. Je, ulijua kuwa jibu lako katika swali hili muhimu linatoa uamzi wa jinsi maisha yako ya milele yatakavyokuwa?
Je! niko huru kumtumikia Mungu au ninafungwa na mambo ambayo wengine wanaweza kufikiria kunihusu?
Je! Mawazo mabaya machafu ni hatari kiasi gani?
Tunapaswa kushinda nini? Kwa nini ni kibaya sana?
Je, inawezekana kujaribiwa na usijue? Je, inawezekana kutenda dhambi bila kujua? Kujaribiwa inamaanisha nini?
Je! Mimi ni mtu ambaye wengine wanaweza kumtazama, hata ninapojaribiwa kukasirika au mawazo machafu?
Ni rahisi kutuma ujumbe kupitia mitandao ya kijamii. Lakini umefikiria juu ya matokeo?
Unajikuta bado unafanya vitu vibaya, licha ya kuwa hakika unataka kufanya kile ambacho ni kizuri.
Hakuna furaha katika kupima maisha yangu dhidi ya maisha ya mtu mwingine
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?
“Nilikua na hamu sana kuwa huru kutokana na mawazo machafu lakini jinsi ya kutimiza hili haikua wazi.”
Ninawezaje kuweka maisha yangu ya mawazo safi wakati mawazo haya mengi yanakuja tu bila mimi kuyataka?