Esta alikuwa "shujaa wa maombi", mwanamke aliyemcha Mungu na uhusiano wa kibinafsi na Yesu.
Ukristo wa Utendaji
Ann Steiner
ZZaburi 18 inazungumza juu ya Mungu anayefanya kazi sana na mtu mwenye nia moja.
Wakati mwingine "talanta" inaweza kumaanisha kitu tofauti sana na kile unachoweza kufikiria.
Dondoo: Je, kweli unataka kupata mapenzi ya Mungu katika maisha yako ya kila siku? Jambo kuu ni kuacha mapenzi yako mwenyewe ili kupata mapenzi ya Mungu
Jinsi mambo rahisi, ya kila siku yalivyokuwa yakivunja uhusiano wangu na Mungu taratibu.
Mungu Anataka Kuishi Katika Mioyo ya Watu
Mungu anataka tutafute mapenzi yake katika kila jambo, Pamoja na hali tuliyomo sasa, na katika mambo yote tunayojishughulisha nayo kwa sasa
Mungu mwenyewe ndiye anayedhibiti mipaka ya maisha yetu kwa lengo la kutusogeza karibu naye.
Soma jinsi baadhi ya vijana wanavyofanya hivi katika maisha yao ya kila siku.
Henoko alipokea ushuhuda kwamba alimpendeza Mungu
Tunaweza kukubali upendo wa Mungu, na kujifunza kupenda kama Yeye anavyopenda!
Ushuhuda wa Paulo ulikuwa: " Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda." Ushuhuda wako utakuwa nini?
Biblia inatuambia kwamba kuwa katika hofu ya kimungu ni njia bora ya kuhakikisha maombi yako yanajibiwa.
Makala hii iliandikwa kwa ajili ya Mwaka Mpya mnamo 1957, lakini ni muhimu leo kama ilivyokuwa wakati huo
Imani inatupa uwezo wa Mungu, lakini shaka humfungia Mungu. Tunapaswa kuamini bila shaka!
Ili kupata amani ya Mungu ambayo itaweka moyo wako na akili yako katika Kristo Yesu, unapaswa kupigana!
Samweli alikuwa maalumu toka utoto. Hadithi yake inatuonesha ni jinsi gani ilivyo muhimu kusikiliza sauti ya Mungu na kuitii, kwa namna yo yote.
Je! Umewahi kufikiria hii unapokuwa katika hali ngumu au ugumu?
Kuna hukumu ambayo ni msaada, na kuna hukumu yenye ufisadi na yenye kudhuru. Moja ni nyepesi na nyingine ni giza. Soma zaidi hapa!
Kupata ushindi dhidi ya hali duni na hali bora, kuhisi wewe ni mbaya au bora kuliko wengine, sio jambo dogo. Lakini, kama kawaida, neno la Mungu linatuonyesha njia.
Tunavyofikiria na kuwatendea wahitaji, wanyonge na wale ambao ulimwengu huwadharau, inaonesha tunachofikiria juu ya Mungu, Muumba.
Je, Unaamini miujiza? Muujiza unaonekanaje kwako?
Nilijua sikuwa nikiishi jinsi nilivyopaswa kuwa mfuasi, hadi tukio lililobadili maisha lilinilazimisha kumkaribia Mungu.
Katika chumba chetu cha maombi "siri" tuna ushirika wa karibu na Mungu, na huko tuna nguvu kubwa!
Tunajuaje kwamba Mungu anatupenda? La muhimu zaidi: Je, Mungu anajuaje kwamba tunampenda?
e, umewahi kuwa na shaka kwamba Mungu anakupenda? Mistari hii ya Biblia inaweza kubadilisha hilo.
Mungu anataka kuwa na roho yetu, na anataka kufanya makao yake ndani yetu tena. Anafanyaje hili?
Je, kweli unaamini katika wema na nguvu za Mungu? Au unafikiri Mungu ni dhaifu kama wewe?
Nilitakiwa kupigana vita ili kuishinda hali yangu ya uduni, hisia kwamba sikuwa na thamani na sikuwa muhimu kuliko wengine, na kuwa na Imani katika upendo wa Mungu kwangu binafsi.
Katika Maisha yake yote Yesu alisema,: “Mapenzi yako yatimizwe, si mapenzi yangu!” maneno haya ndiyo ufunguo wa kuwa kitu kimoja na Mungu Pamoja na watu.
Kumwamini Mungu ni kuamini kwamba yuko na kwamba Neno Lake ni kweli. Na ikiwa tunaamini hili, linapaswa kuwa na athari kubwa katika maisha yetu ya kila siku ...
Linda alipata uhuru wa kweli alipogundua kwamba kulikuwa na mmoja tu aliyepaswa kumpendeza.
Je, tunajua kwamba Mungu yuko karibu nasi siku zote? Kila siku, katika maisha yetu yote?
Mungu anakuona wewe ni wa thamani na wa kipekee na wa thamani kubwa. Unajionaje?
Wakati tuliposhuhudia ubaya wa ubaguzi dhidi yetu, mtoto wangu wa miaka 5 alijua njia bora ya kuushughulikia.
Katika Mithali inasema kwamba mtu mwaminifu ni vigumu kumpata. Je, wewe ni mmoja wa watu hao wachache?
Biblia inazungumza kuhusu kuishi mbele za Mungu na si mbele ya watu. Lakini hiyo inamaanisha nini katika maisha ya vitendo?
Hadithi ya mama kuhusu kile alichokiona alipoachana na ndoto yake ya “maisha kamili".
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Mungu husikia zaidi ya maombi yangu, huona hamu ya moyo wangu. Je! Ana nini kuona moyoni mwangu kujibu maombi yangu?
Kwa nini hafanyi iwe rahisi kwangu kuamini?
Sikutarajia kamwe kuwa mtu anayemwamini Mungu.
Ushuhuda kuhusu kuishi ili kumpendeza Mungu.
Ukweli nyuma ya njia tunayohitaji kutumikia.
Tunajua kwamba Biblia inasema kwamba Mungu anatupenda. Lakini yuko wapi katika nyakati ngumu?
Nilipata furaha kujua kwamba Mungu aliniumba jinsi nilivyo.
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?
Je, inawezekana kumjua Mungu kibinafsi?
Umewahi kuhisi wakati mwingine kwamba Mungu huwa hakusikilizi? Kwa nini Mungu hataki kujibu maombi yako?
Mungu alitupa uhuru wa kuchagua, kwa sababu anataka tufanye maamuzi yetu wenyewe.
Unapokua na hofu, unamfanya Mungu awe mdogo na wewe kuonekana mkuu. Kiukweli unamwita Mungu muongo.