Kuokolewa kabisa inamaanisha kuwa na uokovu wa ndani zaidi; siyo tu kuokolewa kutokana na matokeo ya dhambi, bali kutoka kwa minyororo ya dhambi. Imeandikwa na Ukristo hai
Ukristo wa Utendaji
Umewahi kufikiria, "Siwezi kuamini Neno la Mungu; haiwezekani tu!"
Kushiriki katika asili ya kimungu kunamaanisha kwamba asili yangu inakuwa kama asili ya Mungu - kupitia kazi yake ya kuumba ndani yangu!
Je, inawezekana kuwa na furaha kila wakati licha ya machafuko ninayokabiliana nayo kila siku?
Soma jinsi baadhi ya vijana wanavyofanya hivi katika maisha yao ya kila siku.
Toba ni hatua ya kwanza kuelekea wokovu na maisha yenye maana
Furaha ni nini hasa?
Ikiwa ninataka kuishi maisha ya Mkristo, je, ni lazima niache kuwa "mimi"?
Wakristo wengi wanajadili ikiwa watu waliotalikiana wanaweza kuoa tena au la. Lakini Neno la Mungu linasema nini?
Je, unashikilia kwa dhati tumaini ambalo umekiri?
Tunasoma mengi kuhusu moyo katika Biblia. Lakini moyo wetu ni nini hasa, tukisema kiroho? Ni nini umuhimu wa mioyo yetu?
Jambo la kawaida kwa wanadamu ni kujitoa katika dhambi. Kwa hivyo tunawezaje kupigana vita dhidi ya dhambi na kushinda?
Kuamini ni zaidi ya kukubali tu kwamba Biblia ni ya kweli.
Siyo dhambi kujaribiwa kuwa na wivu, lakini ukiiruhusu uishi na ukue, unaweza kuharibu maisha yako.
Kupata ushindi dhidi ya hali duni na hali bora, kuhisi wewe ni mbaya au bora kuliko wengine, sio jambo dogo. Lakini, kama kawaida, neno la Mungu linatuonyesha njia.
Je, Ninajuaje ikiwa "mimi ni rafiki wa ulimwengu"
Je! Umewahi kujiuliza inamaanisha nini kwako kutoa mwili wako kama dhabihu hai?
Kufanya haki katika maisha yangu ya kila siku ni kufanya kile ambacho Mungu anataka nifanye.
Ni vizuri sana kuwa na ushirika na wengine. Lakini ni kwa nini ushirika unahitajika
Tunajuaje kwamba Mungu anatupenda? La muhimu zaidi: Je, Mungu anajuaje kwamba tunampenda?
Ninapotembea katika nuru, maisha yanakuwa mazuri, na daima nina dhamiri njema. Lakini ninatembeaje katika nuru?
Chuki ni neno lenye nguvu. Je, Tunapaswa kumchukia baba na mama yetu, mke na watoto, kaka na dada, na hata sisi wenyewe?
Yesu alisema kuwa kuwa mwanafunzi wake, lazima "uchukue msalaba wako kila siku". Unawezaje kufanya hivyo?
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Yesu anatuambia kwamba ni lazima tuzaliwe mara ya pili. Tunafanyaje hivyo?
Ukweli ni upi? Ina maana gani kwetu na inaathirije na kubadilisha maisha yetu?
Ni vigumu sana kueleza imani ni nini kwa maneno machache tu, lakini kuna mambo machache muhimu ambayo yanaweza kutusaidia kuielewa vizuri.
Tunda la roho ni asili ya kimungu (Upendo, uvumilivu, utu wema, n.k) ambalo huja pale nilipoifia dhambi
Biblia inazungumza kuhusu kuwa mkamilifu. Hii inamaanisha nini, na inawezekana?
Dhambi ni nini - dhambi ya asili, matendo ya mwili, dhambi katika mwili (katika asili yetu ya kibinadamu). Kuna tofauti gani kati ya kuwa na dhambi (kuwa na asili ya dhambi) na kutenda dhambi?
Kumwamini Mungu ni kuamini kwamba yuko na kwamba Neno Lake ni kweli. Na ikiwa tunaamini hili, linapaswa kuwa na athari kubwa katika maisha yetu ya kila siku ...
Neno la Mungu ndilo suluhisho la uponyaji na kuunda kitu kipya.
wote tunajaribiwa kutenda dhambi, lakini kama tunataka kushinda dhambi, tunahitaji kuchukua hatua!
Ikiwa Kristo alikuja katika mwili, katika asili ya kibinadamu, ilikuwa asili gani? Kwa nini hiyo ni muhimu?
Injili inaelezewa kama "njia", kwa sababu "njia" ni kitu unachotembea juu yake. Kwenye "njia" kuna harakati na maendeleo.
Biblia inasema nini kuhusu pesa?
Nimesoma Biblia na kujifunza kutoka kwake Maisha yangu yote, lakini nawezaje kujua kwa kweli kwamba Biblia ni kweli kabisa?
Biblia inatuambia tuwe na furaha sikuzote. Lakini hilo linawezekanaje?
Naweza kuhisi kama nakuwa mchafu nijaribiwapo. Lakini je, nimitenda dhambi?
Je, inawezekana kujaribiwa na usijue? Je, inawezekana kutenda dhambi bila kujua? Kujaribiwa inamaanisha nini?
Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba tunapaswa kuwa "zaidi ya washindi?" Inazungumza juu ya nani wakati imeandikwa "kwake yeye ashindaye?"
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Mimi ni kijana mdogo mara moja tu. Je, ninautumiaje muda huo mfupi maishani mwangu?
Huu ndio ufunguo wa kushinda dhambi maishani mwetu!
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Mungu husikia zaidi ya maombi yangu, huona hamu ya moyo wangu. Je! Ana nini kuona moyoni mwangu kujibu maombi yangu?
Ufafanuzi juu ya mada ya kupendeza ambayo mara nyingi hueleweka vibaya.
Kuna watu wengi wanaokuja kwa Yesu. Lakini si wengi wao wanakuwa wanafunzi.
Kwa nini hafanyi iwe rahisi kwangu kuamini?
Je! Kusulubiwa na dhabihu ya Yesu ilikuwaje tofauti na dhabihu na msamaha katika Agano la Kale?
Je, isingekuwa bora kuzungumza juu ya wema wote katika watu?
Kuna kitu kimoja tu ambacho kinaweza kukufanya uwe na furaha na kukupa pumziko.
Kwa kuwa siwezi kushinda dhambi bila msaada wa Roho Mtakatifu, ni muhimu sana kwamba nisikilize na kutii wakati Roho anaposema nami.
Kuna tofauti kubwa. Na ni muhimu sana kujua ni tofauti gani.
Kusudi la leo ni nini?
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?
Je, huna utulivu na maisha yako yanaonekana kuwa tupu? Je, una wasiwasi na mambo mengi na una maswali mengi?
Mungu Anaona Ndoa Kama Uhusiano Mtakatifu!
Inaweza kuwa vigumu kutosha kusamehe mtu ambaye anajuta…
Nitafanya nini ninapojihisi sipo kama navyotakiwa niwe?
Mtazamo wako uko wapi maishani
Jifunze kuhusu kitakachotokea siku ambayo kila mtu lazima aonekane mbele ya Kristo kuhukumiwa.
Watu wengi wanaweza kusema kwamba kinyume cha furaha ni huzuni. Lakini je, hii ni kweli?
"Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo." 1 Yohana 4:8.
Tunajua kwamba Biblia inasema kwamba Mungu anatupenda. Lakini yuko wapi katika nyakati ngumu?
Unajikuta bado unafanya vitu vibaya, licha ya kuwa hakika unataka kufanya kile ambacho ni kizuri.
Je, ninawezaje kuwa na furaha na wale walio na furaha, hata kama sijisikii hivyo?
Biblia inasema nini ambacho kinaweza kutusaidia hata leo?
Inaweza kuwa vigumu kwa wengi kuamini, lakini inawezekana kabisa kuwa huru kutoka katika dhambi.
Ikiwa unataka kumshawishi mtu kuwa Mkristo, maisha ya uaminifu yanazungumza zaidi kuliko maneno.
Ni nini "uzinzi" kulingana na Neno la Mungu na matokeo ya uzinzi ni yapi?
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?
Biblia inatuambia kwamba ikiwa tunataka kuwa Mkristo, ni lazima tuache maisha yetu wenyewe. Lakini hii ni kweli thamani yake?
Je, Yesu alimaanisha alichosema kweli?
Kwa msaada wa injili inawezekana kuwa huru kabisa kutoka kwenye maudhui ya ngono
“Nilikua na hamu sana kuwa huru kutokana na mawazo machafu lakini jinsi ya kutimiza hili haikua wazi.”
Ninawezaje kuweka maisha yangu ya mawazo safi wakati mawazo haya mengi yanakuja tu bila mimi kuyataka?
Labda wokovu ni pamoja na mengi zaidi kuliko ulivyofikiria!
Umewahi kuhisi wakati mwingine kwamba Mungu huwa hakusikilizi? Kwa nini Mungu hataki kujibu maombi yako?
Inawezekanaje kutokuwa na wasiwasi juu ya kitu chochote katika ulimengu ambao mambo mengi hayana hakika?
Sisi ni binadamu. Tunatenda dhambi. Je, huo ndio mwisho wa hadithi?
Mungu alitupa uhuru wa kuchagua, kwa sababu anataka tufanye maamuzi yetu wenyewe.
Je! Kuna njia yoyote ya kutofautisha kati ya Wakristo wa kweli na wale ambao sio?
Kuna tofauti kubwa kati ya watu wanaojiita wenyewe wakristo. Ni wangapi twaweza sema ni kweli wanamtukuza Mungu katika maisha wanayoishi?
Roho Mtakatifu ni nani? Kwa nini ninamhitaji?