Wakati mwingine inaweza kuonekana kama kuna msukumo unakuja kutoka kwenye mwelekeo wote.
Ukristo wa Utendaji
Siyo dhambi kujaribiwa kuwa na wivu, lakini ukiiruhusu uishi na ukue, unaweza kuharibu maisha yako.
Je, Unaamini miujiza? Muujiza unaonekanaje kwako?
Watu wanapsawa kuona neno la Mungu kwenye maisha yetu.
Yesu hayupo hapa duniani kwa kibinafsi, kwa hivyo ninawezaje kuwa mwanafunzi Wake? Ninawezaje kumfuata na kuishi karibu naye?
Je! Umewahi kujiuliza inamaanisha nini kwako kutoa mwili wako kama dhabihu hai?
Yesu alisema kuwa kuwa mwanafunzi wake, lazima "uchukue msalaba wako kila siku". Unawezaje kufanya hivyo?
Zipi ni sababu na matokeo ya upendo wangu? Nina upendo ambao unafikiri tu kuhusu mimi binafsi au wenye kuleta uzima, upendo usio na ubinafsi?
Mungu amempa kila mtu nafsi na roho. Je! kuna tofauti gani gani ya vitu hivi viwili?
Hatuhitaji kuhisi hatia pindi tunajaporibiwa. Sababu ni hii hapa …
Ni vyema kujitathimini wenyewe kuona kama Yesu bado ni upendo wa kwanza katika maisha yetu.
Ingekuwa kawaida kabisa kwa Sarah kutoamini kuwa atakuwa na mtoto wa kiume…hata hivyo, alikuwa na miaka 90.
Tunda la roho ni asili ya kimungu (Upendo, uvumilivu, utu wema, n.k) ambalo huja pale nilipoifia dhambi
Dhambi ni nini - dhambi ya asili, matendo ya mwili, dhambi katika mwili (katika asili yetu ya kibinadamu). Kuna tofauti gani kati ya kuwa na dhambi (kuwa na asili ya dhambi) na kutenda dhambi?
Utu wema na upole ni matunda ya Roho. Biblia imejaa watu ambao walikuwa na matunda haya katika maisha yao, na ni mifano kwa sisi kufuata!
Sote tuna sababu njema kuwa wema sisi kwa sisi na kuonesha huruma na uelewa.
Dhambi nyingi zimeunganishwa moja kwa moja na mambo haya makuu matatu.
Ikiwa Kristo alikuja katika mwili, katika asili ya kibinadamu, ilikuwa asili gani? Kwa nini hiyo ni muhimu?
Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Mungu anakuona wewe ni wa thamani na wa kipekee na wa thamani kubwa. Unajionaje?
Yupi utamfuata? Kuwa mkweli mwenyewe. Je, ulijua kuwa jibu lako katika swali hili muhimu linatoa uamzi wa jinsi maisha yako ya milele yatakavyokuwa?
Ingekuwa imekwenda tofauti ikiwa mtawala mchanga tajiri angechagua kutoa kila kitu
Je! Mawazo mabaya machafu ni hatari kiasi gani?
Naweza kuhisi kama nakuwa mchafu nijaribiwapo. Lakini je, nimitenda dhambi?
Tunapaswa kushinda nini? Kwa nini ni kibaya sana?
Je, inawezekana kujaribiwa na usijue? Je, inawezekana kutenda dhambi bila kujua? Kujaribiwa inamaanisha nini?
Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba tunapaswa kuwa "zaidi ya washindi?" Inazungumza juu ya nani wakati imeandikwa "kwake yeye ashindaye?"
Hiki ndicho kilinitoa kwenye shimo hatari la huzuni wakati wa kipindi kigumu sana maishani mwangu.
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Inaweza kuwa ngumu kupata maana ya maisha wakati kila siku inapita sawa na ile ya hapo awali, hadi uanze kutazama maisha kwa njia mpya kabisa.
Huu ndio ufunguo wa kushinda dhambi maishani mwetu!
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Ni kwa namna gani baadae yangu itakuwa chanya Habari zote zikiwa hasi?
Mungu husikia zaidi ya maombi yangu, huona hamu ya moyo wangu. Je! Ana nini kuona moyoni mwangu kujibu maombi yangu?
Je! Kusulubiwa na dhabihu ya Yesu ilikuwaje tofauti na dhabihu na msamaha katika Agano la Kale?
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?
Mawazo yako yanavutiwa na nini siku nzima?
Inaweza kuwa vigumu kutosha kusamehe mtu ambaye anajuta…
Je, Sisi wanadamu tunawezaje kumfuata Kristo, Mwana wa Mungu?
Je! Mimi ni mtu ambaye wengine wanaweza kumtazama, hata ninapojaribiwa kukasirika au mawazo machafu?
Ni rahisi kutuma ujumbe kupitia mitandao ya kijamii. Lakini umefikiria juu ya matokeo?
"Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo." 1 Yohana 4:8.
Yesu anawezaje kutulazimisha kuwapenda watu? Unaweza kufanya mwenyewe upendwe na mtu mwingine?
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?
Kuna vita tunahitajika kupigana, vita dhidi ya dhambi – ambayo ni mzizi wa mateso yote.
Ninawezaje kuweka maisha yangu ya mawazo safi wakati mawazo haya mengi yanakuja tu bila mimi kuyataka?
Umewahi kuhisi wakati mwingine kwamba Mungu huwa hakusikilizi? Kwa nini Mungu hataki kujibu maombi yako?