Orodha ya mambo ambayo siwezi kufanya haina mwisho. Lakini ninaweza kufanya sehemu ndogo iliyo mbele yangu.
Ukristo wa Utendaji
Ninawezaje kuacha kuathiriwa kirahisi sana kufanya kile ninachojua ni kibaya?
Shaka inakufanya usiwe na nguvu.
Je! Umewahi kufikiria hii unapokuwa katika hali ngumu au ugumu?
kutafuta sifa kutoka kwa watu husabaisha usumbufu mwingi, lakini huegemea Zaidi kwa kila mwanadamu. Je nawezaje kuwa huru kutoka hali hii?
Kifo ni siri kubwa. Lakini kama mkiristo nina ahadi ya thamani kwa hali yangu ya baadaye.
Wakati mwingine inaweza kuonekana kama kuna msukumo unakuja kutoka kwenye mwelekeo wote.
: Yesu alisema kuna wachache ambao huipata njia nyembaba. Unajua namna ya kuipata na cha muhimu Zaidi, mamna ya kuipitia.
karibia wakristo wote hutafuta kilicho kikuu, na hutaka Watoto wao wawe wakuu ulimwenguni. Lakini hiki sicho Mungu anachotaka kwa ajili yetu!
kufanya jambo jema, lazima nijiweke huru kutoka katika uovu.
Mambo yote hutokea kwa ajili ya mema kwangu” lakini je, ninalifanyiaje mazoezi katika maisha yangu ya kila siku, kama napojaribiwa kuwa na wivu?
Uchungu na kuwa na jambo dhidi ya mtu mwingine huhwaweka watu mbali kati ya mmoja na mwingine – lakini kuna suluhisho.
Pengine hiki ni moja kati ya vifungu vya biblia vinavyojulikana katika muunganiko na pentekoste, lakini lengo la nguvu hii ni nini?
Rolf: Watu wengine hukasirika haraka. Mimi ni mmoja wao.
Siyo dhambi kujaribiwa kuwa na wivu, lakini ukiiruhusu uishi na ukue, unaweza kuharibu maisha yako.
Alta alikasirika kwa urahisi kwa kila mtu na kila jambo na hii ilikuwa ikiharibu maisha yake. Angewezaje kutafuta njia ya kuacha kukasirika?
Hii ni hadithi yangu.
Je, umefikiria kuhusu Yesu, Mwana pekee wa Mungu, na kile Alichofanya ili tuwe kaka na dada zake?
Watu wanapsawa kuona neno la Mungu kwenye maisha yetu.
Kama wakristo tuna wito mkuu na mtakatifu sana, na wala kwa namna yoyote hautegemei elimu yetu wala historia ya maisha yetu wala rangi yetu.
Tuhuma mbaya ni tofauti kabisa na mfano ulioachwa na Kristo, na hutokana na ukosefu wa upendo. Lakini kuna njia ya kutoka kwenye mawazo haya mabaya!
Kupata ushindi dhidi ya hali duni na hali bora, kuhisi wewe ni mbaya au bora kuliko wengine, sio jambo dogo. Lakini, kama kawaida, neno la Mungu linatuonyesha njia.
“Leo ni siku.” Siku niliyogundua kile ambacho nimekuwa nikikikosa.
Katika kuchanganyikiwa kwangu na hasira yangu juu ya nchi ninayoishi, nilipata ufunuo muhimu: kwa kweli ni jukumu langu kuiombea nchi yangu.
Yesu aliielezea kama njaa na kiu ya haki.
Tunavyofikiria na kuwatendea wahitaji, wanyonge na wale ambao ulimwengu huwadharau, inaonesha tunachofikiria juu ya Mungu, Muumba.
Kulazwa hospitalini na UVIKO-19, aya za Biblia ambazo ziliendelea kumjia akilini mwake ni kitu ambacho Hermeni angeshikilia.
Je, Unaamini miujiza? Muujiza unaonekanaje kwako?
Je, Ninajuaje ikiwa "mimi ni rafiki wa ulimwengu"
Niligundua kwamba hofu, japo ilikua kweli kwangu, haikutoka kwa Mungu. Na ndipo aliponionesha namna ya kuishinda.
Nilipokuwa hata simjui Mungu, Alikuwa akinivuta kwake kwa upole. Sasa namchagua kila siku.
Yesu hayupo hapa duniani kwa kibinafsi, kwa hivyo ninawezaje kuwa mwanafunzi Wake? Ninawezaje kumfuata na kuishi karibu naye?
Mwanzoni kujitenga na kuunganishwa kwa njia ya mtandao ilikua kitu kigeni na pia chenye kufurahisha – mpaka nilipogundua kwamba vyanzo vyetu vya mapato vilikua vikipungua kwa mmoja hadi mwingine.
Je! Umewahi kujiuliza inamaanisha nini kwako kutoa mwili wako kama dhabihu hai?
Mungu huwa haulizi kuhusu ya nyuma, wewe ni nani au nini unaweza fanya. Anachouliza ni ikiwa uko tayari
Navyoweza kupata njia ya kufahamu wakati sahihi, maneno sahihi, na matendo sahihi hivyo ninaweza kuwasaidia na kuwabariki wengine.
Ni kawaida kutaka kujitetea ikiwa tunafikiri tunatendewa vibaya. Lakini je! Hiyo ndiyo njia ambayo Yesu alitufundisha kwenda?
Je, ningefaulu zaidi ikiwa tu hali zangu zingekuwa tofauti?
Kiburi ni dhambi inayoathiri kila mtu.
Sio siri! Yesu anatufundisha waziwazi katika mfano wa mjane ambaye hakukata tamaa.
Nilikuwa nimezoea kukubaliana na uwongo wake, mpaka Mungu akanionesha ni nini kinachohitajika kubadilika katika maisha yangu.
kuwa kama mwana wa Mungu hutegemea jambo hili muhimu sana.
Kuwa na furaha na wale wanaofurahi ni rahisi kusema kuliko kufanya. Lakini ikiwa naweza kujifunza jinsi ya kufanya hivyo – hebu fikiria jinsi nitakuwa na furaha zaidi!
Ujumbe wa matumaini kwa mtu yeyote ambaye anahisi kama hafai vya kutosha.
Kuokolewa kabisa inamaanisha kuwa na uokovu wa ndani zaidi; siyo tu kuokolewa kutokana na matokeo ya dhambi, bali kutoka kwa minyororo ya dhambi.
Je! Umepata nguvu ya kushangaza ambayo huja unapojazwa na Roho?
Mungu ana njia ya kututoa kwa kila jaribu. Lakini haijaandikwa kwamba jaribu linaondoka
Yesu alipofufuka kutoka kwa wafu na Roho Mtakatifu akaja, ilitoa matumaini kwa wanafunzi wake wote - pamoja na mimi na wewe! Soma zaidi!
Lengo la mwisho katika maisha haya ni kupumzika na amani katika hali zote, katika kila aina ya shida. Je! Tunapataje amani ya aina hii?
Njia nyembamba ni njia iendayo uzimani. Inamaanisha kuacha kila kitu – lakini matokeo yake ni ya kushangaza.
kufuatilia masomo haya matatu yatakusaidia kuwa na mahusiano mema, yenye baraka na afya!
Inashitusha ni mara ngapi watu hufanya hivi bila kufikiria jinsi isivyo kimungu.
Tunajuaje kwamba Mungu anatupenda? La muhimu zaidi: Je, Mungu anajuaje kwamba tunampenda?
Kushiriki katika asili ya kimungu kunamaanisha kwamba asili yangu inakuwa kama asili ya Mungu - kupitia kazi yake ya kuumba ndani yangu!
Mfano katika Yohana 15 unaweza kuonekana kuwa mgumu kidogo kuelewa. Yesu ni mzabibu, sisi ni matawi, na Mungu ndiye mkulima. Je, haya yote yanamaanisha nini?
Sio sote tunazaliwa na nguvu za kihemko, na hiyo ni sawa. Lakini hapa ndio tunaweza kufanya mawazo na hisia zetu zinapojaribu kutuvuta.
Chuki ni neno lenye nguvu. Je, Tunapaswa kumchukia baba na mama yetu, mke na watoto, kaka na dada, na hata sisi wenyewe?
Yesu alisema kuwa kuwa mwanafunzi wake, lazima "uchukue msalaba wako kila siku". Unawezaje kufanya hivyo?
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Zipi ni sababu na matokeo ya upendo wangu? Nina upendo ambao unafikiri tu kuhusu mimi binafsi au wenye kuleta uzima, upendo usio na ubinafsi?
Tangu roho ya imani iingie moyoni mwangu, maoni yangu juu ya maisha yamebadilika kuwa maelezo.
Kwa nini sala ni muhimu sana kwa mwamini?
Kunaweza kuwa na sababu nyingi sana kwa nini tunajaribiwa kuwa na wasiwasi, lakini tuna nguvu kubwa katika ulimwengu kwa upande wetu!
Imani sahili katika Mungu huleta matokeo.
Sisi ni watu waliochaguliwa na Mungu, ametuchagua kabla ya kuumba ulimwengu. Unaiamini? Unaiishi?
Mungu amempa kila mtu nafsi na roho. Je! kuna tofauti gani gani ya vitu hivi viwili?
Hatuhitaji kuhisi hatia pindi tunajaporibiwa. Sababu ni hii hapa …
Je! Yakobo anawezaje kusema kwamba tunapaswa "kujawa na furaha" katika majaribu yetu? Je! Mateso yanawezaje kuwa ya furaha?
Ni vyema kujitathimini wenyewe kuona kama Yesu bado ni upendo wa kwanza katika maisha yetu.
Kuwa mtiifu katika maneno ya Mungu ambayo Yesu alisema kutatupeleka katika maisha kwenye wingi wake katika uzima wa milele. Imeandikwa na Ukristo hai.
Ni kwa imani katika Mungu kwamba tunakuja kwa siku zijazo ambazo Ametupangia.
Ni vigumu sana kueleza imani ni nini kwa maneno machache tu, lakini kuna mambo machache muhimu ambayo yanaweza kutusaidia kuielewa vizuri.
Sote tunajua wivu ni mbaya. Lakini je! Ninaweza kukubali kwamba nina wivu haswa na sio kujilinganisha tu na marafiki zangu?
Ingekuwa kawaida kabisa kwa Sarah kutoamini kuwa atakuwa na mtoto wa kiume…hata hivyo, alikuwa na miaka 90.
Tunda la roho ni asili ya kimungu (Upendo, uvumilivu, utu wema, n.k) ambalo huja pale nilipoifia dhambi
Dhambi ni nini - dhambi ya asili, matendo ya mwili, dhambi katika mwili (katika asili yetu ya kibinadamu). Kuna tofauti gani kati ya kuwa na dhambi (kuwa na asili ya dhambi) na kutenda dhambi?
Shetani anapofanya kazi kati ya watu wa Mungu, yeye hutumia tamaa zao za asili na vitu ambavyo vinawavutia.
Nilitakiwa kupigana vita ili kuishinda hali yangu ya uduni, hisia kwamba sikuwa na thamani na sikuwa muhimu kuliko wengine, na kuwa na Imani katika upendo wa Mungu kwangu binafsi.
Wanaume watatu walisulubiwa Kalivari, lakini siku iliisha kwa matokeo matatu tofauti. Mfano wako ni nani?
Biblia iko wazi sana kuhusu kusamehe wengine. Lakini kwa nini ni muhimu sana, na nitawezaje kuwasamehe?
Linda alipata uhuru wa kweli alipogundua kwamba kulikuwa na mmoja tu aliyepaswa kumpendeza.
Wakati mmoja sikuweza kudhibiti wasiwasi wangu na woga, lakini leo mimi ni msichana mdogo mwenye mtazamo mzuri juu ya maisha.
“Je! Kuna yeyote kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza saa moja katika maisha yake?” Mathayo 6:27
Utu wema na upole ni matunda ya Roho. Biblia imejaa watu ambao walikuwa na matunda haya katika maisha yao, na ni mifano kwa sisi kufuata!
Ujumbe chanya na wenye matumaini kwa mwaka ujao
Nguvu kubwa ya shukrani inaweza kubadilisha hali kabisa.
Sote tuna sababu njema kuwa wema sisi kwa sisi na kuonesha huruma na uelewa.
Maisha yamejaa chaguzi. Utavuna kile ulichopanda - kwa hivyo, chagua maisha!
Dhambi nyingi zimeunganishwa moja kwa moja na mambo haya makuu matatu.
Maisha yangu yalibadilishwa kwa njia nyingi sana - na sio vile ungetarajia.
Ikiwa Kristo alikuja katika mwili, katika asili ya kibinadamu, ilikuwa asili gani? Kwa nini hiyo ni muhimu?
Je! Ninahitaji kubadilisha kabisa jinsi nilivyosoma baadhi ya mistari katika Biblia? Je! Nimekuwa nikizisoma vibaya wakati wote huu?
Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Wakati wetu hapa duniani na asili ya kibinadamu yenye dhambi, inaweza kuwa kama kusafiri kupitia uwanja wa mabomu. Je! Tunapataje salama kupitia hiyo?
Mungu anakuona wewe ni wa thamani na wa kipekee na wa thamani kubwa. Unajionaje?
Wakati Julia alipoona jinsi alivyojaa kiburi na majivuno, alijua kuwa kuna kitu angeweza kufanya juu yake.
Nilipokuwa mdogo, niligundua kuwa kuna kitu kilikosekana katika maisha yangu; Sikujua ni nini. Kisha nikasoma maneno ya Yesu.
Yupi utamfuata? Kuwa mkweli mwenyewe. Je, ulijua kuwa jibu lako katika swali hili muhimu linatoa uamzi wa jinsi maisha yako ya milele yatakavyokuwa?
Wakati tuliposhuhudia ubaya wa ubaguzi dhidi yetu, mtoto wangu wa miaka 5 alijua njia bora ya kuushughulikia.
Ni kwa ubaya kiasi gani unataka kushinda tamaa za dhambi? Una nia ya kukimbia kutoka kwenye dhambi hizi hadi utakapopata kile unachokihitaji kweli – ushindi dhidi yake?
Njia ya maisha yangu imeundwa na chaguzi za kila siku ninazofanya.
Maisha yangu yalibadilika nilipogundua jinsi ilivyo bora kutoa kuliko kupokea.
Hadithi ya mama kuhusu kile alichokiona alipoachana na ndoto yake ya “maisha kamili".
Je! Unajua jinsi imani katika Mungu inavyobadilisha maisha yako?
Je, Ninaweza "kuingia mbinguni" ikiwa siingii tayari katika roho ile ile inayotawala mbinguni nikiwa hapa duniani?
Ni hivi majuzi tu nimefikiria jinsi Pasaka ni muhimu kwa maisha yangu.
Pasaka inamaanisha nini kwangu binafsi.
Ingekuwa imekwenda tofauti ikiwa mtawala mchanga tajiri angechagua kutoa kila kitu
Kwa nini mara kwa mara unaweza kuwa mwenye shukrani na mwenye furaha, bila kujali hali yako ama unavyojihisi.
Biblia inasema nini kuhusu pesa?
Je! niko huru kumtumikia Mungu au ninafungwa na mambo ambayo wengine wanaweza kufikiria kunihusu?
Je! Mawazo mabaya machafu ni hatari kiasi gani?
Naweza kuhisi kama nakuwa mchafu nijaribiwapo. Lakini je, nimitenda dhambi?
Maneno yana nguvu. Yanaweza kujenga na kubomoa
Tunapaswa kushinda nini? Kwa nini ni kibaya sana?
Je, inawezekana kujaribiwa na usijue? Je, inawezekana kutenda dhambi bila kujua? Kujaribiwa inamaanisha nini?
Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba tunapaswa kuwa "zaidi ya washindi?" Inazungumza juu ya nani wakati imeandikwa "kwake yeye ashindaye?"
Hiki ndicho kilinitoa kwenye shimo hatari la huzuni wakati wa kipindi kigumu sana maishani mwangu.
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Inaweza kuwa ngumu kupata maana ya maisha wakati kila siku inapita sawa na ile ya hapo awali, hadi uanze kutazama maisha kwa njia mpya kabisa.
Huu ndio ufunguo wa kushinda dhambi maishani mwetu!
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Je! Ninaamini kwamba maisha ya Kikristo kama ilivyoelezewa katika Biblia yanawezekana? Ni rahisi sana kuvunjika moyo.
Ni kwa namna gani baadae yangu itakuwa chanya Habari zote zikiwa hasi?
Unadhani ni aina gani ya maisha mtu ataishi kama yesu ni Bwana na mwalimu wa kweli wakati wote?
Yesu: Mpainia, Mtangulizi
Tunadanganywa kwa urahisi na maneno ya kijanja na sura nzuri na kuongozwa mbali na ukweli wa injili, badala ya kuangalia roho iliyo kwenye mtazamo wa nje.
Je! Ulijua kwamba katika kila kitu tunachofanya, watu wataona maisha ya Kristo au maisha ya Shetani ndani yetu?
Biblia hutueleza kuwaombea viongozi wetu na serikali.
Mungu husikia zaidi ya maombi yangu, huona hamu ya moyo wangu. Je! Ana nini kuona moyoni mwangu kujibu maombi yangu?
Ufafanuzi juu ya mada ya kupendeza ambayo mara nyingi hueleweka vibaya.
Kwa nini hafanyi iwe rahisi kwangu kuamini?
Je! Kusulubiwa na dhabihu ya Yesu ilikuwaje tofauti na dhabihu na msamaha katika Agano la Kale?
Maisha mema Zaidi ambayo mtu yeyote anaweza kuishi, mahali popote, wakati wowote. Kama kweli unahitaji.
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?
Mawazo yako yanavutiwa na nini siku nzima?
Katika Pentekoste, wanafunzi walibatizwa na Roho Mtakatifu na moto. Bila moto huu hakuwezi kuwa na umoja.
Ulishawahi kuwa na siku ambapo kila kitu kilionekana kwenda tofauti?
Kuna njia moja ambayo haijawahi kumkatisha tamaa yule anayeichagua. Je! Unafikiria kufuata ndoto yako ndio njia hiyo? Au kuna kitu zaidi?
Inaweza kuwa vigumu kutosha kusamehe mtu ambaye anajuta…
Vita ya mama mmoja dhidi ya kujilinganisha mwenyewe na wengine.
Nitafanya nini ninapojihisi sipo kama navyotakiwa niwe?
Mtazamo wako uko wapi maishani
Jifunze kuhusu kitakachotokea siku ambayo kila mtu lazima aonekane mbele ya Kristo kuhukumiwa.
Kuna wakati amri "Usihukumu" haitumiki.
Je, Sisi wanadamu tunawezaje kumfuata Kristo, Mwana wa Mungu?
Je! Mimi ni mtu ambaye wengine wanaweza kumtazama, hata ninapojaribiwa kukasirika au mawazo machafu?
Njia muhimu ya kuwa mwinjilisti mwema.
Ni rahisi kutuma ujumbe kupitia mitandao ya kijamii. Lakini umefikiria juu ya matokeo?
: Kila siku ni tajiri na zawadi ya thamani kutoka kwa Mungu, na neema mpya na fursa mpya.
"Yeye asiyependa, hakumjua Mungu, kwa maana Mungu ni upendo." 1 Yohana 4:8.
Nilikuwa nimesahau kitu muhimu sana na cha lazima - tuzo yangu kubwa.
Je! Kusudi la Mungu kwangu ni nini? Mapenzi ya Mungu ni nini kwenye maisha yangu?
Unajikuta bado unafanya vitu vibaya, licha ya kuwa hakika unataka kufanya kile ambacho ni kizuri.
Watu husherehekea Pasaka kwa njia nyingi tofauti, lakini tunatumai kuwa mimi na wewe pia tutasimama na kufikiria maana halisi ya Pasaka.
Yesu anawezaje kutulazimisha kuwapenda watu? Unaweza kufanya mwenyewe upendwe na mtu mwingine?
Yesu ni nani kwako? Je! Umemkabidhi moyo wako wote na maisha yako kama Bwana na Mwalimu wako - au je, yeye ni "dhabihu ya dhambi" tu kwako?
Hakuna furaha katika kupima maisha yangu dhidi ya maisha ya mtu mwingine
Mungu alitaka tuwe hai, lakini kwa sababu gani?
Kwa msaada wa injili inawezekana kuwa huru kabisa kutoka kwenye maudhui ya ngono
Sote tunajua kuwa muda wetu hapa duniani ni mfupi. Tutakuwa tumepata nini kwa wakati huo?
Je, unasali kwa njia ambayo Biblia inasema unapaswa kusali?
“Nilikua na hamu sana kuwa huru kutokana na mawazo machafu lakini jinsi ya kutimiza hili haikua wazi.”
Kuna vita tunahitajika kupigana, vita dhidi ya dhambi – ambayo ni mzizi wa mateso yote.
Ninawezaje kuweka maisha yangu ya mawazo safi wakati mawazo haya mengi yanakuja tu bila mimi kuyataka?
Umewahi kuhisi wakati mwingine kwamba Mungu huwa hakusikilizi? Kwa nini Mungu hataki kujibu maombi yako?
Inawezekanaje kutokuwa na wasiwasi juu ya kitu chochote katika ulimengu ambao mambo mengi hayana hakika?
Sisi ni binadamu. Tunatenda dhambi. Je, huo ndio mwisho wa hadithi?
Je! Kuna njia yoyote ya kutofautisha kati ya Wakristo wa kweli na wale ambao sio?
Kuna tofauti kubwa kati ya watu wanaojiita wenyewe wakristo. Ni wangapi twaweza sema ni kweli wanamtukuza Mungu katika maisha wanayoishi?
Jaribu ni mtihani wa imani yangu.Maisha haya ni ya kufurahisha sana.
Kuwalaumu wengine ni kama hali ya asili ya upumuaji kwa watu wengi.
Unapokua na hofu, unamfanya Mungu awe mdogo na wewe kuonekana mkuu. Kiukweli unamwita Mungu muongo.