Hadithi ya Mariamu na Elisabeti katika Biblia inaeleza kuhusu urafiki wa ajabu. Ni nini kilichofanya urafiki wao kuwa imara sana?
Ukristo wa Utendaji
Kifo katika kaya kilifanya nifikirie..
Kwenu ninyi mnaopigania sana kuishinda dhambi na bado hamjaipata sawasawa: Itafanikiwa!
Orodha ya mambo ambayo siwezi kufanya haina mwisho. Lakini ninaweza kufanya sehemu ndogo iliyo mbele yangu.
Ninawezaje kuacha kuathiriwa kirahisi sana kufanya kile ninachojua ni kibaya?
Je! Umewahi kufikiria hii unapokuwa katika hali ngumu au ugumu?
Shaka inakufanya usiwe na nguvu.
kutafuta sifa kutoka kwa watu husabaisha usumbufu mwingi, lakini huegemea Zaidi kwa kila mwanadamu. Je nawezaje kuwa huru kutoka hali hii?
Kifo ni siri kubwa. Lakini kama mkiristo nina ahadi ya thamani kwa hali yangu ya baadaye.
Wakati mwingine inaweza kuonekana kama kuna msukumo unakuja kutoka kwenye mwelekeo wote.
: Yesu alisema kuna wachache ambao huipata njia nyembaba. Unajua namna ya kuipata na cha muhimu Zaidi, mamna ya kuipitia.
karibia wakristo wote hutafuta kilicho kikuu, na hutaka Watoto wao wawe wakuu ulimwenguni. Lakini hiki sicho Mungu anachotaka kwa ajili yetu!
kufanya jambo jema, lazima nijiweke huru kutoka katika uovu.
Mambo yote hutokea kwa ajili ya mema kwangu” lakini je, ninalifanyiaje mazoezi katika maisha yangu ya kila siku, kama napojaribiwa kuwa na wivu?
Uchungu na kuwa na jambo dhidi ya mtu mwingine huhwaweka watu mbali kati ya mmoja na mwingine – lakini kuna suluhisho.
Pengine hiki ni moja kati ya vifungu vya biblia vinavyojulikana katika muunganiko na pentekoste, lakini lengo la nguvu hii ni nini?
Rolf: Watu wengine hukasirika haraka. Mimi ni mmoja wao.
Siyo dhambi kujaribiwa kuwa na wivu, lakini ukiiruhusu uishi na ukue, unaweza kuharibu maisha yako.
Alta alikasirika kwa urahisi kwa kila mtu na kila jambo na hii ilikuwa ikiharibu maisha yake. Angewezaje kutafuta njia ya kuacha kukasirika?
Nilikuwa nikipambana sana na mawazo ya giza na kukata tamaa. Hivi ndivyo yote yalivyobadilika.
Acheni tuhubiri habari njema kwa furaha juu ya kila jambo linalowezekana kwa imani katika Yesu Kristo!
Hebu fikiria ikiwa unaweza kusema mwishoni mwa maisha yako: "Hiyo ilikuwa bora zaidi kuliko nilivyofikiria ingekuwa!"
Sisi sote tuna tamaa za dhambi katika asili yetu zinazojaribu kutuhadaa tufanye maovu. Je, tunawezaje kuokolewa kutokana na haya?
Tumeitwa kuwa wana wa Mungu. Lakini tunahitaji nini ili tuitwe wana wa Mungu?
Yesu aliweza kuona jinsi Nathanaeli alivyokuwa kabla hata ya kuzungumza naye. Ni nini kilikuwa cha pekee sana kwa Nathanaeli?
Lengo sio kuwa na mengi iwezekanavyo ya ulimwengu huu, lakini kuacha kila kitu.
Kama mama mwenye mambo mengi, nilikuwa nikijaribu kufanya kila kitu
Baadhi ya shule zina siku za "Onesha na nena". Nilifikiria jinsi hiyo inatumika pia tunapotaka kushiriki injili na wengine…
Hii ni hadithi yangu.
Tumaini letu linapokuwa kwa Kristo, tuna tumaini la wakati ujao katika utukufu mkuu na wa milele.
Kwa "taarifa" nyingi zinapatikana na kila mtu anajaribu kutuambia kwamba anasema ukweli, inawezekanaje kujua ukweli ni upi?
Aya hii ni kama mapatano kati yangu na Mungu: “Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.”
Je, umefikiria kuhusu Yesu, Mwana pekee wa Mungu, na kile Alichofanya ili tuwe kaka na dada zake?
Ishara niliyoona nikiwa njiani kwenda kazini ilinifanya nifikirie kuhusu Krismasi ya kwanza huko Bethlehemu.
Je, uko tayari kwa ukweli?
Je, ungejisikiaje kujua kwamba maisha yako hayana maana?
Watu wanapsawa kuona neno la Mungu kwenye maisha yetu.
Kama wakristo tuna wito mkuu na mtakatifu sana, na wala kwa namna yoyote hautegemei elimu yetu wala historia ya maisha yetu wala rangi yetu.
Tuhuma mbaya ni tofauti kabisa na mfano ulioachwa na Kristo, na hutokana na ukosefu wa upendo. Lakini kuna njia ya kutoka kwenye mawazo haya mabaya!
Wote tuna vitu au watu tuwaowageukia pindi tunapohitaji faraja. Lakini unapata faraja ya kweli na ya kudumu?
Kuna hukumu ambayo ni msaada, na kuna hukumu yenye ufisadi na yenye kudhuru. Moja ni nyepesi na nyingine ni giza. Soma zaidi hapa!
Kupata ushindi dhidi ya hali duni na hali bora, kuhisi wewe ni mbaya au bora kuliko wengine, sio jambo dogo. Lakini, kama kawaida, neno la Mungu linatuonyesha njia.
Lengo la Shetani ni kututenganisha na Mungu. Hivi ndivyo tunavyoweza kumzuia.
Sasa uko tayari kuanza maisha mapya kabisa!
“Leo ni siku.” Siku niliyogundua kile ambacho nimekuwa nikikikosa.
Katika kuchanganyikiwa kwangu na hasira yangu juu ya nchi ninayoishi, nilipata ufunuo muhimu: kwa kweli ni jukumu langu kuiombea nchi yangu.
Je, umehesabu gharama?
Yesu aliielezea kama njaa na kiu ya haki.
Tunavyofikiria na kuwatendea wahitaji, wanyonge na wale ambao ulimwengu huwadharau, inaonesha tunachofikiria juu ya Mungu, Muumba.
Kulazwa hospitalini na UVIKO-19, aya za Biblia ambazo ziliendelea kumjia akilini mwake ni kitu ambacho Hermeni angeshikilia.
Je, Unaamini miujiza? Muujiza unaonekanaje kwako?
Je, Ninajuaje ikiwa "mimi ni rafiki wa ulimwengu"
Niligundua kwamba hofu, japo ilikua kweli kwangu, haikutoka kwa Mungu. Na ndipo aliponionesha namna ya kuishinda.
Nilipokuwa hata simjui Mungu, Alikuwa akinivuta kwake kwa upole. Sasa namchagua kila siku.
Yesu hayupo hapa duniani kwa kibinafsi, kwa hivyo ninawezaje kuwa mwanafunzi Wake? Ninawezaje kumfuata na kuishi karibu naye?
Mwanzoni kujitenga na kuunganishwa kwa njia ya mtandao ilikua kitu kigeni na pia chenye kufurahisha – mpaka nilipogundua kwamba vyanzo vyetu vya mapato vilikua vikipungua kwa mmoja hadi mwingine.
Je! Umewahi kujiuliza inamaanisha nini kwako kutoa mwili wako kama dhabihu hai?
Hatuna majibu yote kuhusu nyakati za mwisho. Lakini je, unajua ni jambo gani muhimu zaidi unaweza kufanya ili kujitayarisha?
Mungu huwa haulizi kuhusu ya nyuma, wewe ni nani au nini unaweza fanya. Anachouliza ni ikiwa uko tayari
Nilikuwa nikijibu kila wakati kwa njia ambayo nilichukia. Hivi ndivyo nilivyopata suluhisho.
Ingawa mara nyingi hisia zangu huonekana kubadilika bila onyo, nimejifunza siri ya kuzidhibiti ili zisinitawale.
Navyoweza kupata njia ya kufahamu wakati sahihi, maneno sahihi, na matendo sahihi hivyo ninaweza kuwasaidia na kuwabariki wengine.
Ni kawaida kutaka kujitetea ikiwa tunafikiri tunatendewa vibaya. Lakini je! Hiyo ndiyo njia ambayo Yesu alitufundisha kwenda?
Je, ningefaulu zaidi ikiwa tu hali zangu zingekuwa tofauti?
Kiburi ni dhambi inayoathiri kila mtu.
Haijalishi ni kwa kiasi gani tunatofautiana na watu wengine, kuna kitu ambacho ni sawa kwetu sote ...
Sio siri! Yesu anatufundisha waziwazi katika mfano wa mjane ambaye hakukata tamaa.
Nilikuwa nimezoea kukubaliana na uwongo wake, mpaka Mungu akanionesha ni nini kinachohitajika kubadilika katika maisha yangu.
kuwa kama mwana wa Mungu hutegemea jambo hili muhimu sana.
Kuwa na furaha na wale wanaofurahi ni rahisi kusema kuliko kufanya. Lakini ikiwa naweza kujifunza jinsi ya kufanya hivyo – hebu fikiria jinsi nitakuwa na furaha zaidi!
Ujumbe wa matumaini kwa mtu yeyote ambaye anahisi kama hafai vya kutosha.
Katika Biblia, Yesu amepewa majina mengi tofauti. Je, umewahi kufikiria kuhusu baadhi ya majina na vyeo hivi yanamaanisha nini kwetu kibinafsi?
Je, unatamani kuwa na tunda la Roho?
Tuna majivuno mengi ambayo hata hatuoni. Lakini Mungu anataka kutuweka huru kutokana na hilo!
Kuokolewa kabisa inamaanisha kuwa na uokovu wa ndani zaidi; siyo tu kuokolewa kutokana na matokeo ya dhambi, bali kutoka kwa minyororo ya dhambi.
Je! Umepata nguvu ya kushangaza ambayo huja unapojazwa na Roho?
Mungu ana njia ya kututoa kwa kila jaribu. Lakini haijaandikwa kwamba jaribu linaondoka
Yesu alipofufuka kutoka kwa wafu na Roho Mtakatifu akaja, ilitoa matumaini kwa wanafunzi wake wote - pamoja na mimi na wewe! Soma zaidi!
Lengo la mwisho katika maisha haya ni kupumzika na amani katika hali zote, katika kila aina ya shida. Je! Tunapataje amani ya aina hii?
Inawezekana kuishi maisha ya Yesu tukiwa bado hapa duniani!
Jua utajiri wa kweli ni nini na unaweza kuupataje.
Njia nyembamba ni njia iendayo uzimani. Inamaanisha kuacha kila kitu – lakini matokeo yake ni ya kushangaza.
Je, umewahi kufikiria au kusema maneno haya? Je! unajua Mungu alimwambia Yeremia nini aliposema hivi?
Tusimruhusu shetani afanye mambo kuwa magumu kwetu.
Katika vita vya kila siku ambavyo Mkristo anapaswa kupigana dhidi ya dhambi, tunahitaji kujua jinsi ya kuendelea kusimama!
Nilijua sikuwa nikiishi jinsi nilivyopaswa kuwa mfuasi, hadi tukio lililobadili maisha lilinilazimisha kumkaribia Mungu.
kufuatilia masomo haya matatu yatakusaidia kuwa na mahusiano mema, yenye baraka na afya!
Ni vizuri sana kuwa na ushirika na wengine. Lakini ni kwa nini ushirika unahitajika
Inashitusha ni mara ngapi watu hufanya hivi bila kufikiria jinsi isivyo kimungu.
Wakati mwingine "talanta" inaweza kumaanisha kitu tofauti sana na kile unachoweza kufikiria.
Tunajuaje kwamba Mungu anatupenda? La muhimu zaidi: Je, Mungu anajuaje kwamba tunampenda?
Kushiriki katika asili ya kimungu kunamaanisha kwamba asili yangu inakuwa kama asili ya Mungu - kupitia kazi yake ya kuumba ndani yangu!
Kupigana na dhambi" kunaweza kuonekana kama jambo gumu kufanya, lakini hatuhitaji kufanya hivyo peke yetu!
Hii Ndio Maana ya Kuwa Mkristo Anayejali Imani Yake.
Mfano katika Yohana 15 unaweza kuonekana kuwa mgumu kidogo kuelewa. Yesu ni mzabibu, sisi ni matawi, na Mungu ndiye mkulima. Je, haya yote yanamaanisha nini?
Ninapotembea katika nuru, maisha yanakuwa mazuri, na daima nina dhamiri njema. Lakini ninatembeaje katika nuru?
Hii hakika itakufanya uwe na furaha zaidi!
Furaha hii kuu ambayo malaika walizungumza zamani sana ilibadilisha kila kitu, na bado inaweza kubadilisha kabisa maisha yetu leo.
Yesu alisema maneno ya uzima ambayo yangeweza kuokoa watu. Mamlaka yake yalikuja kwa kufanya Neno. Tunaweza kupata mamlaka sawa.
Sio sote tunazaliwa na nguvu za kihemko, na hiyo ni sawa. Lakini hapa ndio tunaweza kufanya mawazo na hisia zetu zinapojaribu kutuvuta.
Ili kujifunza kutoka kwa Bwana tunahitaji kuwa maskini wa roho.
Chuki ni neno lenye nguvu. Je, Tunapaswa kumchukia baba na mama yetu, mke na watoto, kaka na dada, na hata sisi wenyewe?
Yesu alisema kuwa kuwa mwanafunzi wake, lazima "uchukue msalaba wako kila siku". Unawezaje kufanya hivyo?
Je, una tumaini la maisha ya milele? Unaweza kuishi maisha ambayo yatakupeleka katika uzima wa milele katika muda wako hapa duniani?
Zipi ni sababu na matokeo ya upendo wangu? Nina upendo ambao unafikiri tu kuhusu mimi binafsi au wenye kuleta uzima, upendo usio na ubinafsi?
Tangu roho ya imani iingie moyoni mwangu, maoni yangu juu ya maisha yamebadilika kuwa maelezo.
Kwa nini sala ni muhimu sana kwa mwamini?
e, umewahi kuwa na shaka kwamba Mungu anakupenda? Mistari hii ya Biblia inaweza kubadilisha hilo.
Kunaweza kuwa na sababu nyingi sana kwa nini tunajaribiwa kuwa na wasiwasi, lakini tuna nguvu kubwa katika ulimwengu kwa upande wetu!
Mungu anataka kuwa na roho yetu, na anataka kufanya makao yake ndani yetu tena. Anafanyaje hili?
Imani sahili katika Mungu huleta matokeo.
Sisi ni watu waliochaguliwa na Mungu, ametuchagua kabla ya kuumba ulimwengu. Unaiamini? Unaiishi?
Mungu amempa kila mtu nafsi na roho. Je! kuna tofauti gani gani ya vitu hivi viwili?
Hatuhitaji kuhisi hatia pindi tunajaporibiwa. Sababu ni hii hapa …
Je! Yakobo anawezaje kusema kwamba tunapaswa "kujawa na furaha" katika majaribu yetu? Je! Mateso yanawezaje kuwa ya furaha?
Debora alikuwa nabii wa kike na mwamuzi katika Israeli. Yeye ni mfano wenye nguvu wa jinsi imani katika matendo inavyofanya kazi!
Ni vyema kujitathimini wenyewe kuona kama Yesu bado ni upendo wa kwanza katika maisha yetu.
Kuwa mtiifu katika maneno ya Mungu ambayo Yesu alisema kutatupeleka katika maisha kwenye wingi wake katika uzima wa milele. Imeandikwa na Ukristo hai.
Je, kweli unaamini katika wema na nguvu za Mungu? Au unafikiri Mungu ni dhaifu kama wewe?
Ni kwa imani katika Mungu kwamba tunakuja kwa siku zijazo ambazo Ametupangia.
Ingawa Anelle amekuwa akiishi na ugonjwa kwa miaka mingi, yeye ni msichana ambaye amejifunza kuridhika sana.
Ni vigumu sana kueleza imani ni nini kwa maneno machache tu, lakini kuna mambo machache muhimu ambayo yanaweza kutusaidia kuielewa vizuri.
Sote tunajua wivu ni mbaya. Lakini je! Ninaweza kukubali kwamba nina wivu haswa na sio kujilinganisha tu na marafiki zangu?
Ingekuwa kawaida kabisa kwa Sarah kutoamini kuwa atakuwa na mtoto wa kiume…hata hivyo, alikuwa na miaka 90.
Jibu rahisi nililowahi kusikia mtu akitoa kwa swali hili lilinigusa sana.
Je, umefikiria juu ya haki ni nini na ni nini thawabu zake?
Tunda la roho ni asili ya kimungu (Upendo, uvumilivu, utu wema, n.k) ambalo huja pale nilipoifia dhambi
Biblia inazungumza kuhusu kuwa mkamilifu. Hii inamaanisha nini, na inawezekana?
Dhambi ni nini - dhambi ya asili, matendo ya mwili, dhambi katika mwili (katika asili yetu ya kibinadamu). Kuna tofauti gani kati ya kuwa na dhambi (kuwa na asili ya dhambi) na kutenda dhambi?
Shetani anapofanya kazi kati ya watu wa Mungu, yeye hutumia tamaa zao za asili na vitu ambavyo vinawavutia.
Nilitakiwa kupigana vita ili kuishinda hali yangu ya uduni, hisia kwamba sikuwa na thamani na sikuwa muhimu kuliko wengine, na kuwa na Imani katika upendo wa Mungu kwangu binafsi.
Wanaume watatu walisulubiwa Kalivari, lakini siku iliisha kwa matokeo matatu tofauti. Mfano wako ni nani?
Katika Maisha yake yote Yesu alisema,: “Mapenzi yako yatimizwe, si mapenzi yangu!” maneno haya ndiyo ufunguo wa kuwa kitu kimoja na Mungu Pamoja na watu.
Sote tunajua kuwa kulaumu wengine kamwe hakuisaidii hali, lakini njia hii ya kujibu iko katika asili yetu tangu mwanzo ...
Je, utii una umuhimu gani linapokuja suala la imani yetu?
Samweli alikuwa maalumu toka utoto. Hadithi yake inatuonesha ni jinsi gani ilivyo muhimu kusikiliza sauti ya Mungu na kuitii, kwa namna yo yote.
Kumwamini Mungu ni kuamini kwamba yuko na kwamba Neno Lake ni kweli. Na ikiwa tunaamini hili, linapaswa kuwa na athari kubwa katika maisha yetu ya kila siku ...
Biblia iko wazi sana kuhusu kusamehe wengine. Lakini kwa nini ni muhimu sana, na nitawezaje kuwasamehe?
Ni nini hutusukuma kufanya kazi nzuri tunazofanya?
Kila mtu anataka amani ya ulimwengu, lakini kutengeneza amani huanza na mimi
Linda alipata uhuru wa kweli alipogundua kwamba kulikuwa na mmoja tu aliyepaswa kumpendeza.
Wakati mmoja sikuweza kudhibiti wasiwasi wangu na woga, lakini leo mimi ni msichana mdogo mwenye mtazamo mzuri juu ya maisha.
“Je! Kuna yeyote kati yenu kwa kuwa na wasiwasi anaweza kuongeza saa moja katika maisha yake?” Mathayo 6:27
Muda mwingine nilitamani kwamba ningeacha tu kujali namna watu wengine walivyokuwa wakifikiria juu yangu.
"Maoni" yako yanatoka wapi - mambo unayoamini na kuhisi kwa nguvu sana? Je, wewe ni sawa kila wakati, na unapaswa kufanya nini unapofikiri kuwa uko sahihi, lakini wengine wana maoni tofauti na wewe?
Utu wema na upole ni matunda ya Roho. Biblia imejaa watu ambao walikuwa na matunda haya katika maisha yao, na ni mifano kwa sisi kufuata!
Ujumbe chanya na wenye matumaini kwa mwaka ujao
Mwaka huu uliopita haukuwa rahisi, lakini nina kila sababu ya kuwa na imani kamili kwa siku zijazo.
Nguvu kubwa ya shukrani inaweza kubadilisha hali kabisa.
Sifurahii sana zawadi, muziki na mapambo yote wakati wa Krismasi. Lakini kuna jambo moja ambalo mimi husisimka kuhusu Krismasi.
Wakati wa Krismasi tunamfikiria Mwokozi wetu. Lakini hilo lamaanisha nini kwetu?
Je, tunajua kwamba Mungu yuko karibu nasi siku zote? Kila siku, katika maisha yetu yote?
Sote tuna sababu njema kuwa wema sisi kwa sisi na kuonesha huruma na uelewa.
Maisha yamejaa chaguzi. Utavuna kile ulichopanda - kwa hivyo, chagua maisha!
yote ni kuhusu kuzuia mawazo madogo kabla hayajawa matatizo makubwa.
wote tunajaribiwa kutenda dhambi, lakini kama tunataka kushinda dhambi, tunahitaji kuchukua hatua!
Dhambi nyingi zimeunganishwa moja kwa moja na mambo haya makuu matatu.
Maisha yangu yalibadilishwa kwa njia nyingi sana - na sio vile ungetarajia.
Ikiwa Kristo alikuja katika mwili, katika asili ya kibinadamu, ilikuwa asili gani? Kwa nini hiyo ni muhimu?
Je! Ninahitaji kubadilisha kabisa jinsi nilivyosoma baadhi ya mistari katika Biblia? Je! Nimekuwa nikizisoma vibaya wakati wote huu?
Ninapofikiria juu ya wito wangu kama Mkristo, nina nia gani kuifikia?
Wakati wetu hapa duniani na asili ya kibinadamu yenye dhambi, inaweza kuwa kama kusafiri kupitia uwanja wa mabomu. Je! Tunapataje salama kupitia hiyo?
Si jambo baya kujua udhaifu wako linapokuja suala la dhambi. Hapana, hata kidogo! Lakini unajua unaweza kupata nguvu kutoka wapi?
Mungu anakuona wewe ni wa thamani na wa kipekee na wa thamani kubwa. Unajionaje?
Kwa nini unasema au kusema mambo fulani? Je, una wasiwasi kuhusu kile ambacho wengine wanaweza kufikiria? Je, unataka kuwa huru?
Wakati Julia alipoona jinsi alivyojaa kiburi na majivuno, alijua kuwa kuna kitu angeweza kufanya juu yake.
Ninaweza kuishi kwa namna ambayo Mungu anatukuzwa kupitia mimi!
Injili inaelezewa kama "njia", kwa sababu "njia" ni kitu unachotembea juu yake. Kwenye "njia" kuna harakati na maendeleo.
Kuwa Mkristo kunapaswa kuathiri maisha yetu ya kila siku.
Biblia inazungumza kuhusu kujidanganya, na hilo linaweza kutokea kwa urahisi zaidi kuliko unavyofikiri. Lakini pia kuna njia rahisi ya kuepuka.
Nilipokuwa mdogo, niligundua kuwa kuna kitu kilikosekana katika maisha yangu; Sikujua ni nini. Kisha nikasoma maneno ya Yesu.
Je, unatii neno la Mungu na uongozi Wake hata kama huelewi? Jaribu, na utaona kwamba inafanya kazi kweli!
Yupi utamfuata? Kuwa mkweli mwenyewe. Je, ulijua kuwa jibu lako katika swali hili muhimu linatoa uamzi wa jinsi maisha yako ya milele yatakavyokuwa?
Ninavyoweza kububujikwa na shukrani.
Imani inaweza kugeuza mambo, hata katika usiku wa giza zaidi. Je, unaamini hivyo?
Wakati tuliposhuhudia ubaya wa ubaguzi dhidi yetu, mtoto wangu wa miaka 5 alijua njia bora ya kuushughulikia.
Katika Mithali inasema kwamba mtu mwaminifu ni vigumu kumpata. Je, wewe ni mmoja wa watu hao wachache?
Nawezaje kupata kanisa sahihi kati ya mengi?
Ni kwa ubaya kiasi gani unataka kushinda tamaa za dhambi? Una nia ya kukimbia kutoka kwenye dhambi hizi hadi utakapopata kile unachokihitaji kweli – ushindi dhidi yake?
Soma jinsi baadhi ya vijana wanavyofanya hivi katika maisha yao ya kila siku.
Biblia inazungumza kuhusu kuishi mbele za Mungu na si mbele ya watu. Lakini hiyo inamaanisha nini katika maisha ya vitendo?
Njia ya maisha yangu imeundwa na chaguzi za kila siku ninazofanya.
Maisha yangu yalibadilika nilipogundua jinsi ilivyo bora kutoa kuliko kupokea.
Hadithi ya mama kuhusu kile alichokiona alipoachana na ndoto yake ya “maisha kamili".
Kuwa Mkristo ni bora zaidi kuliko tunavyoweza kufikiria.
Je! Unajua jinsi imani katika Mungu inavyobadilisha maisha yako?
Je, Ninaweza "kuingia mbinguni" ikiwa siingii tayari katika roho ile ile inayotawala mbinguni nikiwa hapa duniani?
Ni hivi majuzi tu nimefikiria jinsi Pasaka ni muhimu kwa maisha yangu.
Pasaka inamaanisha nini kwangu binafsi.
Mtandao, simu mahiri na kila kitu kinachokuja navyo - Mkristo anapaswa kukabiliana vipi na mambo haya yote?
Je, ninafanya mambo yale yale ambayo ninawakosoa wengine?
Ingekuwa imekwenda tofauti ikiwa mtawala mchanga tajiri angechagua kutoa kila kitu
Kwa nini mara kwa mara unaweza kuwa mwenye shukrani na mwenye furaha, bila kujali hali yako ama unavyojihisi.
Kuweza kutazamia siku ambayo nitakutana na Mwokozi wangu na kupokea thawabu ya maisha ya uaminifu, ni mojawapo ya faida kuu za kuwa Mkristo.
Biblia inasema nini kuhusu pesa?
Je! niko huru kumtumikia Mungu au ninafungwa na mambo ambayo wengine wanaweza kufikiria kunihusu?
Nimesoma Biblia na kujifunza kutoka kwake Maisha yangu yote, lakini nawezaje kujua kwa kweli kwamba Biblia ni kweli kabisa?
Je, umewahi kuhisi kuwa kila kitu ni kinyume na wewe? Ndivyo ninavyohisi leo.
Biblia inatuambia tuwe na furaha sikuzote. Lakini hilo linawezekanaje?
Kwa nini mtu aache mapenzi yake mwenyewe?
Je! Unajua thawabu yako ni nini?
Je! Mawazo mabaya machafu ni hatari kiasi gani?
Naweza kuhisi kama nakuwa mchafu nijaribiwapo. Lakini je, nimitenda dhambi?
Maneno yana nguvu. Yanaweza kujenga na kubomoa
Je, bado unajisikia na hatia, ingawa umepata msamaha?
Tunapaswa kushinda nini? Kwa nini ni kibaya sana?
Jambo la kawaida kwa wanadamu ni kujitoa katika dhambi. Kwa hivyo tunawezaje kupigana vita dhidi ya dhambi na kushinda?
Je, inawezekana kujaribiwa na usijue? Je, inawezekana kutenda dhambi bila kujua? Kujaribiwa inamaanisha nini?
Biblia inamaanisha nini inaposema kwamba tunapaswa kuwa "zaidi ya washindi?" Inazungumza juu ya nani wakati imeandikwa "kwake yeye ashindaye?"
Hiki ndicho kilinitoa kwenye shimo hatari la huzuni wakati wa kipindi kigumu sana maishani mwangu.
Biblia inatuambia kwamba dhambi zetu zote zinaweza kusamehewa. Lakini hii inawezekana?
Mimi ni kijana mdogo mara moja tu. Je, ninautumiaje muda huo mfupi maishani mwangu?
Nimejifunza kwamba njia ya kuwa na watu wagumu ni kwa kujifunza kudhibiti miitikio yangu mwenyewe.
Je, unafanya jambo kwa bidii ili kuacha dhambi?
Inaweza kuwa ngumu kupata maana ya maisha wakati kila siku inapita sawa na ile ya hapo awali, hadi uanze kutazama maisha kwa njia mpya kabisa.
Huu ndio ufunguo wa kushinda dhambi maishani mwetu!
Jinsi tishio la bomu lilijaribu imani yangu kwa Mungu.
Furaha. Ni tunda la Roho ambalo sisi sote tunalitafuta. Namna gani tunaweza kuwa na furaha ya kweli?
Je, una Kuhani Mkuu ambaye anaelewa udhaifu wako na kukusaidia kushinda?
Paulo anatuambia katika 1 Timotheo 6:11-14 kwamba kuwa na Imani inamaanisha tunahitajika kufanya kitu. Lakini hii inamaanisha nini haswa?
Je! Ninaamini kwamba maisha ya Kikristo kama ilivyoelezewa katika Biblia yanawezekana? Ni rahisi sana kuvunjika moyo.
Kama wakristo, tunaweza kutumani nini katika mwaka mpya?
Ni kwa namna gani baadae yangu itakuwa chanya Habari zote zikiwa hasi?
Msimu wa Krismasi unaweza kuwa na shughuli nyingi sana kiasi kwamba tunaweza kusahau kwa urahisi kile tunachosherehekea.
Unadhani ni aina gani ya maisha mtu ataishi kama yesu ni Bwana na mwalimu wa kweli wakati wote?
Yesu: Mpainia, Mtangulizi
Kugundua jinsi ilivyo vizuri kuwa wazi na mwaminifu kuhusu imani yangu.
Tunadanganywa kwa urahisi na maneno ya kijanja na sura nzuri na kuongozwa mbali na ukweli wa injili, badala ya kuangalia roho iliyo kwenye mtazamo wa nje.
Je! Ulijua kwamba katika kila kitu tunachofanya, watu wataona maisha ya Kristo au maisha ya Shetani ndani yetu?
“Maombi ni nguzo moja kuu katika maisha yangu. Ninafurahi sana kwamba ninaweza kumwendea Mungu na kupata msaada. Je, niende kwa nani nikiwa na uhitaji?”
Biblia hutueleza kuwaombea viongozi wetu na serikali.
Esta alikuwa "shujaa wa maombi", mwanamke aliyemcha Mungu na uhusiano wa kibinafsi na Yesu.
Mungu husikia zaidi ya maombi yangu, huona hamu ya moyo wangu. Je! Ana nini kuona moyoni mwangu kujibu maombi yangu?
Ufafanuzi juu ya mada ya kupendeza ambayo mara nyingi hueleweka vibaya.
Kuna watu wengi wanaokuja kwa Yesu. Lakini si wengi wao wanakuwa wanafunzi.
“Sasa Bwana wa amani mwenyewe na awape amani yake nyakati zote na kwa kila hali.” Je, hii inafanyaje kazi kwa vitendo?
Tunaweza kujifunza mengi kutokana na hadithi ya Yusufu.
Katika kazi yangu na wateja, nakutana na watu wa haiba tofauti tofauti.
Ushuhuda wa mama wa kweli wa jinsi maoni rahisi ya mtoto wake yalimwonyesha ukweli juu yake mwenyewe.
Ungejisikiaje kama ungekuwa na wanaume 300 tu wa kupigana dhidi ya jeshi kubwa?
Tunapokuwa na roho ya imani, Mungu anaweza kutusaidia kushinda mambo ambayo yanaweza kuonekana kuwa hayawezekani kabisa.
Kwa nini hafanyi iwe rahisi kwangu kuamini?
Je! Kusulubiwa na dhabihu ya Yesu ilikuwaje tofauti na dhabihu na msamaha katika Agano la Kale?
Mungu anataka kuongoza roho zetu kwenye amani na mapumziko. Je, tutamruhusu afanye hivyo?
Kwa nini nisiogope katika nyakati hizi zisizo na uhakika? Neno la Mungu linasema nini kuhusu hili?
Je, isingekuwa bora kuzungumza juu ya wema wote katika watu?
Katika kila hali, kuna jambo moja unaweza kudhibiti.
Kuna kitu kimoja tu ambacho kinaweza kukufanya uwe na furaha na kukupa pumziko.
Kwa kuwa siwezi kushinda dhambi bila msaada wa Roho Mtakatifu, ni muhimu sana kwamba nisikilize na kutii wakati Roho anaposema nami.
Mbinafsi au msaidizi?
Maisha mema Zaidi ambayo mtu yeyote anaweza kuishi, mahali popote, wakati wowote. Kama kweli unahitaji.
Kusudi la leo ni nini?
Kuna njia moja tu ya kumjua Yesu kweli.
Ninafanya nini na mawazo ambayo hayampendezi Mungu?
Mtume Paulo anaandika, “Fuateni mfano wangu, kama mimi ninavyoufuata mfano wa Kristo.”
Mawazo yako yanavutiwa na nini siku nzima?
Maisha yangu yalibadilika kabisa nilipokutana na watu waliohubiri maisha ya Kristo - na kuyaishi.
Ni muhimu kuelewa kwamba kutenda dhambi na kujaribiwa kutenda dhambi ni vitu viwili tofauti.
Umesikia juu ya njia ya "sasa"?
Je, huna utulivu na maisha yako yanaonekana kuwa tupu? Je, una wasiwasi na mambo mengi na una maswali mengi?
Sikutarajia kamwe kuwa mtu anayemwamini Mungu.